Hii ya Tanzania Kupeleka wanajeshi Congo imekaaje!?

Hii ya Tanzania Kupeleka wanajeshi Congo imekaaje!?

$500 kwa siku.....huku salary yako ipo ksma kawa..suala urudi salama tu...ukikaa miaka 3 si haba ukirudi hukosi 70m to 100m
Mbona hio hela ndogo sana kimahesabu. Kwa $500 kila siku maana kwa mwezi tu una around 30-35 millions kwa rate ya sasa. Hapo unazungumzia 360M au zaidi kwa mwaka ukienda miaka mitatu tu ukija we una zaidi ya Billion moko. Mtu akienda mwaka tu akirudi amenyoosa maisha. Mjengo mkali tena location ya maana kabisa.
 
Mbona hio hela ndogo sana kimahesabu. Kwa $500 kila siku maana kwa mwezi tu una around 30-35 millions kwa rate ya sasa. Hapo unazungumzia 360M au zaidi kwa mwaka ukienda miaka mitatu tu ukija we una zaidi ya Billion moko. Mtu akienda mwaka tu akirudi amenyoosa maisha. Mjengo mkali tena location ya maana kabisa.
Hesabu zakooo khaas 500 x 30 ni 1500 x2510 ni 3.7mil kwa mwezi...Mwaka 45mil ...plus salary zako...ulizoacha
 
Mbona hio hela ndogo sana kimahesabu. Kwa $500 kila siku maana kwa mwezi tu una around 30-35 millions kwa rate ya sasa. Hapo unazungumzia 360M au zaidi kwa mwaka ukienda miaka mitatu tu ukija we una zaidi ya Billion moko. Mtu akienda mwaka tu akirudi amenyoosa maisha. Mjengo mkali tena location ya maana kabisa.
Hela ndefu sana hiyo.
 
Hakuna mwanajeshi iwe wa ncho yoyote ya Afrika au wa kutokea kwengine kokote duniani au iwe raia wa kikundi chochote cha Kimataifa ambae hataki kupelekwa Kongo, tena wanaombea wapangiwe kwenda huko na wapo tayari hata kulipia kupelekwa huko.

Huko mali nje nje. Kuna biashara kuu nne wanafaidika nazo wanaopelekwa huko 1) madini ikiwemo na dhahabu 2) madawa ya kulevya 3) pesa za kigeni 4) silaha.

Nioneshe mwanajeshi mmoja anaelalamika kupelekwa huko.
 
Habari zinaonyesha Tanzania tunapeleka wanajeshi Congo kwa mwamvuli wa sadc,
Na kama tujuavyo wanajeshi watanzania pekee ndio huwa kwenye wakati mgumu kwani
hupangiwa sehemu korofi hasa njia za kupita waasi huku wengine wakijipangia sehemu zenye
wingi wa madini na kuishia kutajirisha nchi zao, huku sisi tukirudisha miili kwenye mabegi
na kuongeza yatima na wajane.
View attachment 2858228
Waache waende,siyo kila siku kufyeka nyasi makambini!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Congo inashindwaje ku train kikosi maalum cha askari 10,000 kilichojaa wazalendo halafu kiingie kazini pamoja na jeshi la kawaida?

Anyway, sisi maslahi yetu ni Burundi salama at any cost, sababu kuu ni kwamba tuna SGR ambayo tunataka ifanye kazi, ole wake atakayechezea amani ya Burundi, Burundi ni njia ya kupeleka mzigo DRCongo
Congo ni kubwa jinga la Afrika
 
Hakuna mwanajeshi iwe wa ncho yoyote ya Afrika au wa kutokea kwengine kokote duniani au iwe raia wa kikundi chochote cha Kimataifa ambae hataki kupelekwa Kongo, tena wanaombea wapangiwe kwenda huko na wapo tayari hata kulipia kupelekwa huko.

Huko mali nje nje. Kuna biashara kuu nne wanafaidika nazo wanaopelekwa huko 1) madini ikiwemo na dhahabu 2) madawa ya kulevya 3) pesa za kigeni 4) silaha.

Nioneshe mwanajeshi mmoja anaelalamika kupelekwa huko.
Kwa Wa Tz nadhani wao wanafurahia posho....marupurupu ...kuingia chimbo kufanya biashara ni risk kubwa sana......silaha sio biashara lele mama inahitaji pesa network jeshi ....ulinzi vitu vingi na hatari sana....nakubali dhahabu kwa wachimbaji wadogo wadogo....ukiji mix ukakosea umeishaa
 
Kwa Wa Tz nadhani wao wanafurahia posho....marupurupu ...kuingia chimbo kufanya biashara ni risk kubwa sana......silaha sio biashara lele mama inahitaji pesa network jeshi ....ulinzi vitu vingi na hatari sana....nakubali dhahabu kwa wachimbaji wadogo wadogo....ukiji mix ukakosea umeishaa
wanaopiga biashara wapo, siyo hivyo vikuruti. Maafisa wanalamba pesa nyingi sana kwa hizo biashara haramu.
 
Kwa Wa Tz nadhani wao wanafurahia posho....marupurupu ...kuingia chimbo kufanya biashara ni risk kubwa sana......silaha sio biashara lele mama inahitaji pesa network jeshi ....ulinzi vitu vingi na hatari sana....nakubali dhahabu kwa wachimbaji wadogo wadogo....ukiji mix ukakosea umeishaa
Hapa umenena
 
Hakuna mwanajeshi iwe wa ncho yoyote ya Afrika au wa kutokea kwengine kokote duniani au iwe raia wa kikundi chochote cha Kimataifa ambae hataki kupelekwa Kongo, tena wanaombea wapangiwe kwenda huko na wapo tayari hata kulipia kupelekwa huko.

Huko mali nje nje. Kuna biashara kuu nne wanafaidika nazo wanaopelekwa huko 1) madini ikiwemo na dhahabu 2) madawa ya kulevya 3) pesa za kigeni 4) silaha.

Nioneshe mwanajeshi mmoja anaelalamika kupelekwa huko.
Labda ma-senior(officers) hawa wanaoitwa wapigaji wanarudi na hela kiduchu
huku migongo ikiwa imeumizwa kwa kushinda na bullet proof kila siku.
Sehemu nayo jua huwa wanapambania kwenda ni Lebanon hadi wadada wanafanya figisu waende
 
Back
Top Bottom