Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Mbona hio hela ndogo sana kimahesabu. Kwa $500 kila siku maana kwa mwezi tu una around 30-35 millions kwa rate ya sasa. Hapo unazungumzia 360M au zaidi kwa mwaka ukienda miaka mitatu tu ukija we una zaidi ya Billion moko. Mtu akienda mwaka tu akirudi amenyoosa maisha. Mjengo mkali tena location ya maana kabisa.$500 kwa siku.....huku salary yako ipo ksma kawa..suala urudi salama tu...ukikaa miaka 3 si haba ukirudi hukosi 70m to 100m