Huko si ndo kusota mkuu? Timu inafika golini mara 500 unadhani ni hali ya kawaida hiyo.labda hukuona mpira yanga ajasota amefika golini mara 500 sema haikuwa bahati yao
Hapa tunachoongelea zaidi ni namna ya uchezaji wa ile timu na si daraja lake, Pamoja na kwamba wako daraja la kwanza ila wachezaji wake wanakosa vitu vingi sana, control tu shida. Kumbuka mlivyokutana na Gwambina ya daraja la kwanza FA msimu uliopita, au ihefu ya daraja la kwanza mechi dhidi ya mbao.utakua mgeni na mchezo wa soko ile timu iko ligi daraja la kwanza nafasi ya 3 sio ya kubeza
simba alitolewa na green worias unajua walikuwa daraja gani?
Mpira ungekuwa hivo leceister city asinge chukua ubingwa maana hakuwa level ya man u, man city, ama liva
umesahau ngao ya hisaniNanyie si mnafurahia ile ndondo ya super cup?
kuwa daraja la kwanza si kigezo cha kushindwa kucheza yanga kacheza sana ana shot on target zaid ya 5 unasemaje namna ya uchezaji wake si mzuriHapa tunachoongelea zaidi ni namna ya uchezaji wa ile timu na si daraja lake, Pamoja na kwamba wako daraja la kwanza ila wachezaji wake wanakosa vitu vingi sana, control tu shida. Kumbuka mlivyokutana na Gwambina ya daraja la kwanza FA msimu uliopita, au ihefu ya daraja la kwanza mechi dhidi ya mbao.
😀😀😀😀😀😀😀View attachment 1713700
Hapa Tulidhalilishwa sana. Tufikie tu Makubaliano kama taifa kuwa Simba kwa sasa ni team nzuri hapa Tanzania
Sijaelewa.. kwamba!?utakua mgeni na mchezo wa soko ile timu iko ligi daraja la kwanza nafasi ya 3 sio ya kubeza
simba alitolewa na green worias unajua walikuwa daraja gani?
Mpira ungekuwa hivo leceister city asinge chukua ubingwa maana hakuwa level ya man u, man city, ama liva
cha ajabu kipi mkuu vita mwaka jana kakupiga 5 vp mwaka huu ujamgalagaza kwake hata huyo al ahly anaweza kufa kwake (naomba isitokee) naomba na vita aje akugalagaze huku na el merik pia daaah ntafurah sanaSijaelewa.. kwamba!?
Mathalani nikisema Al Ahly tutampiga kwake..maana hakuna ukubwa wa timu inakuwa nimekupata sawa sawa kulingana na maelezo yako!?
Hebu Tupe matokeo mfululizo ya team hizi katika misimu 3 au minne iliyopita mechi zote walizocheza tuone hivyo vimoko umempiga Mara ngapi ili tuamini maneno yakoyanga hucheza kufuatana na mdundo jifanye hamnazo kama nyau uone unapigwa kimoko tu kama hawa jamaa
mwezi fabruary mwishoni yanga alikuwa kapata mfululizo wa sare akasema ni sare za harusi wajua kilicho tokea march 8
endelea kulopoka may si mbali
Wewe huwa huchoki kuizungumzia Yanga....unasahau nyie mikia mliwahi kutolewa kwenye mashindano haya haya na timu ya daraj la tano au sita...hopeless kabisa...Yanga inakutesa Sana...
Msikilize Sunday Manara Computer
FT Yanga 1 - Ken Gold FC kutoka Chunya
Goli la penati
Nimejutia muda wangu,nimetazama mchezo mbovu kabisa wa timu inayoiita timu kubwa dhidi ya timu ndogo kutoka Chunya.
Siku ya jana msemaji wao Nugaz Antonio aliwaambia mashabiki hii timu itakula nyingi. Achana na idadi ya goli nazungumzia kiwango kibovu cha timu ikiwa full mkoko. Kama ndio mara ya kwanza kuiona Yanga unaweza kudhani ni timu ya mkoa.
Jana watazamaji wa Azam walishuhudia kiwango safi Simba Sc ikitumbuiza dhidi ya African Lyon. Licha ya kuweka kikosi cha pili lakini ilikuwa show show.
Ndugu zangu Yanga mjiandae kisaikolojia. Lolote likitokea msishikane uchawi.
Kiufupi ni timu inayohitaji huruma ya marefa
Tunajadili mashindano yanayoendelea sasa,historia haiwasaidii kwa sasa nyie vidimbwiWewe huwa huchoki kuizungumzia Yanga....unasahau nyie mikia mliwahi kutolewa kwenye mashindano haya haya na timu ya daraj la tano au sita...hopeless kabisa...Yanga inakutesa Sana...
Huyu Bwana aitwaye SUNDAY MANARA nilimshuhudia wakati nikiwa mtoto mdogo nikiwa shule ya msingi. Kwa upande wangu nimemfahamu tangu 1972 na hasa 1973 na kuendelea!! Alicheza pamoja na kina Sembuli, Kitwana Manara, na wengineo wa enzi hizo!! Huyu Bwana alikuwa balaa!! Mimi ni Simba damu na post zangu mnazifahamu ninavyokejeli utopolo!! Lakini huyu Bwana aitwaye Sunday Manara siwezi kuthubutu kumwita Utopolo hata kidogo!! Alibatizwa jina la compyuta kwa jinsi alichokuwa anautawala mpira na kupiga chenga walinzi kama anavyataka!! Kwa bahati mbaya Sana hukukuwa na TV enzo hizo lakini kulikuwa na wataalamu Sana wa kutangaza mpira kwenye Redio!! Heshima yako mzee Sunday Manara! Nimefurahi Sana kusikia ukizungumzia soka kwa uhalisia wake bila kuweka unazi!!
Msikilize Sunday Manara Computer
FT Yanga 1 - Ken Gold FC kutoka Chunya
Goli la penati
Nimejutia muda wangu,nimetazama mchezo mbovu kabisa wa timu inayoiita timu kubwa dhidi ya timu ndogo kutoka Chunya.
Siku ya jana msemaji wao Nugaz Antonio aliwaambia mashabiki hii timu itakula nyingi. Achana na idadi ya goli nazungumzia kiwango kibovu cha timu ikiwa full mkoko. Kama ndio mara ya kwanza kuiona Yanga unaweza kudhani ni timu ya mkoa.
Jana watazamaji wa Azam walishuhudia kiwango safi Simba Sc ikitumbuiza dhidi ya African Lyon. Licha ya kuweka kikosi cha pili lakini ilikuwa show show.
Ndugu zangu Yanga mjiandae kisaikolojia. Lolote likitokea msishikane uchawi.
Kiufupi ni timu inayohitaji huruma ya marefa
Au Umishumta au SHIMIWI😃Yanga anatakiwa acheze mashindano ya college ata mashindano ya Vyuo vikuu hachukui