Hii Yanga ya sasa ikikutana na Real Madrid, Barcelona, Liverpool isipozifunga hizo team nipigwe ban milele

Hii Yanga ya sasa ikikutana na Real Madrid, Barcelona, Liverpool isipozifunga hizo team nipigwe ban milele

Minjingu Jingu

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2023
Posts
1,072
Reaction score
2,384
Hii Yanga unaifungaje? Dube gari limewaka moto. Majini yote yametoka baada ya kuombewa na wachezaji wengine wamemwelewa kocha. Aziz Ki mnamwona? Hatari sana Chama je?

Ikitokea Yanga hii inacheza na Real Madrid au Liverpool au Barca. Isiposhinda Yanga nipigwe ban. Sifai kabisa kuwemo humu. Hizo team zisije jichanganya kuja cheza na Yanga. Zitaumbuka vibaya sana. Wekeni huu uzi kwa ajili ya kumbukumbu.
 
Hii Yanga unaifungaje? Dube gari limewaka moto. Majini yote yametoka baada ya kuombewa na wachezaji wengine wamemwelewa kocha. Aziz Ki mnamwona? Hatari sana Chama je?

Ikitokea Yanga hii inacheza na Real Madrid au Liverpool au Barca. Isiposhinda Yanga nipigwe ban. Sifai kabisa kuwemo humu. Hizo team zisije jichanganya kuja cheza na Yanga. Zitaumbuka vibaya sana. Wekeni huu uzi kwa ajili ya kumbukumbu.
Mimi ni 5imba kindaki ndaki ila nakuunga mkono.
 
Hata kwenye soka kuna akili ya Kuku.

Kuku anakimbizwa anakimbia kuokoa roho yake maana mkimbizaji kabeba kisu, anakimbia mpaka mkimbizaji anachoka na kumuacha.

Baada ya dk 3 mkimbizaji anakuja na mahindi kuku yule yule anakuja mbio mbio ameshasahau kuwa dk 3 zilizopita alitakiwa kuchinjwa.

Dk 3 zimefuta kumbukumbu ya kuku, mechi 3 zimefuta kumbukumbu ya shabiki wa uto.
 
4494DF0D-7EDA-4207-958A-E8309FE4E701.jpeg
 
Kwa hiyo mizani ya mashujaa, TZ prisons na Dodoma jiji ni sawa na real Madrid?

Ushasahau Tabora United umeanza kutamba. Sawa ngoja tuone.
 
Kumbe ashura cheupe alikua sahihi kabisa kusema mashabiki wa nyuma mwiko wote ni mazezeta hawana akili timamu
 
MWAKA 1961 TANGANYIKA IKIPATA UHURU.

BABA WA TAIFA ALIWATAJA MAADUI WAKUU WA TATU WA TAIFA.
1. UMASIKINI.
2. UJINGA.
3. MARADHI.

AKAMALIZA KWA KUSEMA "MAADUI HAWA NI MAADUI KWELI KWELI NA SI MAADUI WA DHIHAKA"
JK NYERERE
 
Nyuma mwiko upelekwe Lutindi haraka sana.
 
Back
Top Bottom