missongika
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 341
- 409
Kwanza wajitahidi kuvuka na kuingia robo fainali, kwenye kombe la klabu bingwa ya afrika la mwaka huu (2024/2025).
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You are talking of impossibilityHii Yanga unaifungaje? Dube gari limewaka moto. Majini yote yametoka baada ya kuombewa na wachezaji wengine wamemwelewa kocha. Aziz Ki mnamwona? Hatari sana Chama je?
Ikitokea Yanga hii inacheza na Real Madrid au Liverpool au Barca. Isiposhinda Yanga nipigwe ban. Sifai kabisa kuwemo humu. Hizo team zisije jichanganya kuja cheza na Yanga. Zitaumbuka vibaya sana. Wekeni huu uzi kwa ajili ya kumbukumbu.
Iwafunge kwanza taboraHii Yanga unaifungaje? Dube gari limewaka moto. Majini yote yametoka baada ya kuombewa na wachezaji wengine wamemwelewa kocha. Aziz Ki mnamwona? Hatari sana Chama je?
Ikitokea Yanga hii inacheza na Real Madrid au Liverpool au Barca. Isiposhinda Yanga nipigwe ban. Sifai kabisa kuwemo humu. Hizo team zisije jichanganya kuja cheza na Yanga. Zitaumbuka vibaya sana. Wekeni huu uzi kwa ajili ya kumbukumbu.