Hii Yanga ya Zahera imeanza kunipa wasiwasi

Kweli ni mapema sana kutoa lawama, ukizingatia ndio inaanza.
 
Kuna umuimu wakupata beki namba mbili mbadala wa Gadiel uyu Ally Mtoni awezi kabisa ziba pengo la Gadiel.
Ni namba 3 hiyo, yuko Marcelo ila kuna kipindi walitaka kumrudisha David Luhende. Hata Mwjnyi Haji alikuwa mzuri tabu uvivu.
 
Hoja ni kuwa wavurugaji wa timu ni sisi wenyewe. Kilichonyuma hata mimi nakijua, ilikuwa kipindi kigumu kile. Kw nini basi tusiwape nafasi kwanza kabla ya kutoa conclusion? Huoni kuwa lawama za mapema namn hii yatasababisha watu kuanza kugawanyika wakati timu ndio kwaaza inatafuta muunganiko?
 
Haya muzee, tuone inakuwaje.
 

Nakubaliana na wewe ila kuna namna ya kutoa maoni ya kujenga na kubomoa...hapa ni lazima tutofautishe...ikiwa tunaanza kumlaumu kocha kuwa hafai sijui na viongozi hawafai na wachezaji nao ni nini sijui, hapo ni tatizo..lakini kama mnajadiliana kuwa tumekosea wapi jamani tufanye nini, sioni tatizo...halafu ukianza kuwashutumu wanaotoa maoni positive kwa kuyaita maoni yao kuwa eti ni ya vijiweni hapo ni tatizo hapo ndipo ulipo mgawanyiko..Mimi Yanga naifahamu mno...kwa namna ninavyoifahamu Yanga ipo kiganjani..nimeitumikia Yanga mno na hata wakati mwingine kujitoa mhanga ...lakini wapo wanayanga wasioifahamu klabu hii ila wako mbele kuwashutumu viongozi na kocha na kuwashutummu hata wale wanaotoa maoni ya kujenga...Binafsi bado naamini kulikuwa na tatizo kwa mechi ya jana...ligi ya hapa nyumbani baadhi tunaifahammu ni ya 'kihuni' ..wachezaji mle ndani uwanjani hukamiana sana na hutukanana sana..na Yanga ndio hukamiwa zaidi na wachezaji wetu huambiwa maneno mabaya sana uwanjani ..mara ninyi mamilionea mnakula hela za bure tunataka kuwaonesha leo na kadhalika...kwa hiyo ukiweka wachezaji wengi wa kigeni na wapya ni tatizo ..ni lazima kuwe na balance ya nyota wapya/wageni na wa msimu uliopita ...wachezaji wa hapa ndani wanafahamiana kwa hiyo ni rahisi nao kucheza 'kibabe' Mimi binafsi naamini Yanga imesajili wachezaji wazuri sana ila mazingira ya hapa kwa ligi ya ndani wanahitaji muda kuzoea...hata Ngoma mara ya kwanza alipotua Yanga tulimponda lakini alipozoea akawa tishio...Chirwa naye tulimponda awali lakini baadaye akawa tishio...Hata Makambo alianza vibaya na baadaye ndipo akawika...Kwa hiyo hata nyota wetu wa kigeni wapya watawika tu ila inahitaji muda kidogo...na tukitoa maoni kuwa kwenye ligi ya kwetu (ambayo imejaa mizengwe na ubabe uwanjani na nje ya uwanja) tuanze kwa ku-balance wachezaji wetu tusipuuzwe tu kuwa eti hayo ni mawazo ya kijiweni...Baadhi tunapata taabu kuambiwa hivyo na watoto wadogo ikizingatiwa kuwa wengine sisi siyo tu tumecheza mpira bali pia tumepata bahati ya kuongoza soka kwa ngazi za juu kabisa kitaifa...
 
Nadhani ni suala la kumpa muda na kuwekeana malengo baada ya kufanya usajili kulingana na matakwa yake.
Tunataka ku achieve nini mwisho wa msimu? Aambiwe kwanza tuchukue ubingwa au nafasi ya pili pamoja na kombe la FA. Akishindwa kufikia malengo hayo, itakuwa vyema aondolewe.
Sasa hivi ni mapema sana
 
Sawa muzee.
 
Uko sawa kabisa.!
 
Mkuu huwa nakuelewa sana,najua wewe n Simba,but when come kwenye maswala ya uchambuzi huwa uegemei upande mmoja..hichi ulicho andika hapa n 100% haina ubishi.
 
Mkuu huwa nakuelewa sana,najua wewe n Simba,but when come kwenye maswala ya uchambuzi huwa uegemei upande mmoja..hichi ulicho andika hapa n 100% haina ubishi.
Great article....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…