Na hilo joto la bongoDa hii nchi hii kazi ipo. Kama wananchi wenyewe ndo kama hawa.
Umetumwaaa eeeee,ambience waliokutumaaa huko hapakalikiiiiItapendeza kama Taifa tukawa na MAVAZI rasmi ya Kitaifa. Asanteni
Kabisa watuletee ngamia wao si wamewachukua wale wanyama Pori wetu wengineUmewaza kisudani ποΈna ngamia πͺ wawe usafiri wa taifa.
mavazi ya waarabu unataka na wewe kuiba utamaduni wa waarab. tushashindwa kitambo so tukubali kuwa hatuna mavazi ya kitaifa. unalifahamu vazi lile wanavaa wanawake wa kiganda nadhani linaitwa guma? nilishangaa kuwa mbunifu wake ni mama wa kizungu aliyekuwa anatafuta vazi kwa ajili ya wanafunzi wa shule aliyokuwa akiisimamia.Itapendeza kama Taifa tukawa na MAVAZI rasmi ya Kitaifa. Asanteni
Bila kusahau mandevu tele kama OsamaOngezea baragashia, koti juu ya kanzu na kobaz kabisa ndiyo itakuwa poa
πUmewaza kisudani ποΈna ngamia πͺ wawe usafiri wa taifa.
Umesahau pia na chakula cha Taifa kiwe ni urojo! Halafu wananchi wote wa nchi ya Tanganyika tusiwe na visogo kama mlinyo nyinyi watumwa wa Waarabu wa Oman.Itapendeza kama Taifa tukawa na MAVAZI rasmi ya Kitaifa. Asanteni
Hijab ni ya kichwani tu, kwa hiyo unamaanisha mradi mtu amevaa ushungi tayari amevaa vazi la taifa? Bila kujali chini kavaa nini? Kama ni gauni, skinny jeans, kimini, au asivae kitu kabisa mradi ana hijabu basi amemaliza?
Na chakula cha taifa kiwe Kitimoto safi iliyokaangwa, ndizi na kachumbari.Itapendeza kama Taifa tukawa na MAVAZI rasmi ya Kitaifa. Asanteni