Itapendeza kama Taifa tukawa na MAVAZI rasmi ya Kitaifa. Asanteni
View: https://youtu.be/LM0KQ8UkYsM?si=Vmrrnv6m-4OJgQro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itapendeza kama Taifa tukawa na MAVAZI rasmi ya Kitaifa. Asanteni
Ukivaa wewe inatosha ...Itapendeza kama Taifa tukawa na MAVAZI rasmi ya Kitaifa. Asanteni
Taifa la Pemba au la Unguja?Itapendeza kama Taifa tukawa na MAVAZI rasmi ya Kitaifa. Asanteni
Sawa heri wewe ni mrefuNtamnunulia SweetyCandy hijab japokua ni mfupi
Ulikua wapi mrembo wangu nisipokuona naiona dunia chunguSawa heri wewe ni mrefu
Sasa mkuu itabidi tukachonge vichwaUmesahau pia na chakula cha Taifa kiwe ni urojo! Halafu wananchi wote wa nchi ya Tanganyika tusiwe na visogo kama mlinyo nyinyi watumwa wa Waarabu wa Oman.
Na busha...🤣Ongezea baragashia, koti juu ya kanzu na kobaz kabisa ndiyo itakuwa poa
KANZU SIVAIItapendeza kama Taifa tukawa na MAVAZI rasmi ya Kitaifa. Asanteni
Na mboga ya taifa iwe pweza..🤣Halafu lugha ya Taifa iwe kiarabu
Ukute huko kwenye familia yao huyo ndio mwenye akili.Da hii nchi hii kazi ipo. Kama wananchi wenyewe ndo kama hawa.
Na nyumba za ibada zote ziwe misikitu itapendeza....😂Umewaza kisudani 🗑️na ngamia 🐪 wawe usafiri wa taifa.
Bila kusahau jambia.Ongezea baragashia, koti juu ya kanzu na kobaz kabisa ndiyo itakuwa poa