Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Hamuamrishani, mnaambiana. Kuamrishana ni kwenye tawala za sharia."mbinguni" ndiyo wapi? Watu hatutafuti kwenda ?mbinguni", watu tunaamrishana mema na kukatazana maovu kwa kujihakikishia pepo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamuamrishani, mnaambiana. Kuamrishana ni kwenye tawala za sharia."mbinguni" ndiyo wapi? Watu hatutafuti kwenda ?mbinguni", watu tunaamrishana mema na kukatazana maovu kwa kujihakikishia pepo.
Mauaji ya albino,vikongwe na walemavu ni kutokanana kukosa hofu ya huyu Mungu,na natukio hayo yapo sana mikoa ambayo wanaabudu dini za jadi hasa kanda ya ziwaSio kweli, hata kabla dini za nje hazijaja hatukwa tunakulana kama Simba na Swala. China, India, Korea, Vietnam na nchi nyingine nyingi za Asia hawalani kama Simba na Swala.
Hata Ulaya ikiwa chini ya tawala za kidini kuna wakati walikuwa wanauwa wanawake vikongwe wenye macho mekundu na wanaofuga pakaMauaji ya albino,vikongwe na walemavu ni kutokanana kukosa hofu ya huyu Mungu,na natukio hayo yapo sana mikoa ambayo wanaabudu dini za jadi hasa kanda ya ziwa
Chini ya dini hizi kubwa mbili babu zako walitumikishwa chini ya utumwa mbaya sana na wengine hadi kuhasiwa, Apartheid na holocaust vimefanyika pia, mambo hayo yote ni uhalifu dhidi ya ubinadamu sawa na wauaji albino.Mauaji ya albino,vikongwe na walemavu ni kutokanana kukosa hofu ya huyu Mungu,na natukio hayo yapo sana mikoa ambayo wanaabudu dini za jadi hasa kanda ya ziwa
Lengo lao kutuletea hizi dini ilikuwa kutisoftisha roho zetu na ilikuwa kwa maslahi yao ili tutawalike,haina maana kwamba wao ni watakatifu sana,ilikuwa ni machinery kama zilivyo jeshi na mahakamaChini ya dini hizi kubwa mbili babu zako walitumikishwa chini ya utumwa mbaya sana na wengine hadi kuhasiwa, Apartheid na holocaust vimefanyika pia mambo hayo yote ni uhalifu dhidi ya ubinadamu sawa na wauaji albino.
Labda ulikuwa huelewi kuwa hata hiloi neno sheria limetokana na UislamHamuamrishani, mnaambiana. Kuamrishana ni kwenye tawala za sharia.