Mkuu Kutakuwa na shida sehemu Fulani kichwani mwako Ni dalili gani au zipi za awali kabisa zinazoweza kumsaidia Baba kuweza kujua kuwa Binti yake ameshaanza kufanya Ngono?
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Kuchapa mara nyingi siyo malezi sahihi kwa mtu anayejitambua, anaelekezwa tu
Mkuu Mzukulu aka GENTAMYCINE aka cleverbright aka ESCORT 1 aka ...Na je, hapo alipokuwa anamwambia Mama yake mbona Yeye huwa anamwambia Baba yake akojoe humo humo ndani unapazungumziaje labda?
Cc: mbongopopo
Stori ya kusadikika!Ni Mtoto wa Kike ( Binti ) tu ambaye anaishi katika Chumba Kimoja na Wazazi wake ila Kimetenganishwa tu amemshtaki Mama yake Mzazi kwa Mjumbe kwa Kumcharaza ( Kumchapa ) Viboko kila mara kwa Kosa la Kukojoa Kitandani kila mara huku akisema mbona na Yeye huwa anamsikia Mama yake huyo akimwambia Baba yake akojolee humo humo ndani na wala Hamchapi Baba yake?
Je, ungekuwa ni Wewe Ndugu Kesi hii kati ya Mama Mzazi na Mwanae ( Binti ) huyu iko namna hii kama ilivyoelezwa hapo juu ungeiamuaje labda?
ππππAmwambie ukweli tu kuwa asijilinganishe na baba ake anautaalam wa kukojoa bila kulowesha godoro sasa kama na wewe unao utaalam kama wa baba yako uwe unakojolea ndani humohumo lakini olewako godoro lilowee