Hiki kidonda nateseka sana nikienda haja, mwenye kujua dawa ya kuharisha

Hiki kidonda nateseka sana nikienda haja, mwenye kujua dawa ya kuharisha

Dawa hii hapa ,Unafahamu majani flani hivi yanaotaga pembezoni mwa bahari kama ukoka hivi sema Yana majani mapana...Yachukue yaponde ponde,then binuka jikamulie maji yake matone kadhaa kwenye tuzi,kesho asubuhi ukiamka ni mzima
 
Back
Top Bottom