kalanga1
JF-Expert Member
- Apr 10, 2017
- 318
- 432
- Thread starter
- #101
Pole sana. Tatizo lako ndio kama langu, mimi niliambiwa hiyo ni bawasiri. Nikaenda kununua dawa ya asili ya kunywa na kupaka kwa dada mmoja yupo insta anajiita @aasm_products anauza dawa za bawasiri. Nimeanza kutumia sasa ni week ya pili maendeleo naona mazuriHabari, Mimi nilikua nasumbuliwa Na constipation, Na kupata Choo kigumu Hadi nikachanika, Sasa kikawa Ni kidonda, Sasa kila nikijisaidia Choo kigumu panazidi kuchanika,...