Hiki kidude (Ferris wheel) Watanzania huwa wanakionea tu kwenye TV

Hiki kidude (Ferris wheel) Watanzania huwa wanakionea tu kwenye TV

Hyo ndio umeleta ndio ya 1970, mbna kuna wakati huaga naona nkm wabongo mnakurupuka tu..
Alafu utakuta hapo kuna mwngine atakuja kuunga
Eti anasema Dar walikuwa nayo 1970s. Uongo mtupu.
 
Msitunyanyase tundu lissu akiwa rais atatuwekea mpaka vyooni
 
Hivi ninyi wakunya ushamba mnaanza kuacha lini? Mtu mzima unaturingishia bembea za watoto wadogo

Ndio maana nilikuambia nataka kukupa ajira ya uhouseboy ikutoe tongotongo
Yani Mimi naona mpaka haibu mtu anajiita eti mwanauchumi anatamba Kwa bembea ni upumbavu wa kiwango cha juu kabisa wakati Huku Zanzibar pale kariakoo ipo michezo yote tena hiyo anayoisemea ndio ndefu mpaka ukiwa juu mji wote unauona.
 
Yani Mimi naona mpaka haibu mtu anajiita eti mwanauchumi anatamba Kwa bembea ni upumbavu wa kiwango cha juu kabisa wakati Huku Zanzibar pale kariakoo ipo michezo yote tena hiyo anayoisemea ndio ndefu mpaka ukiwa juu mji wote unauona
Unaongea kuhusu merry go round ya plastiki iliyopostiwa humu?
 
1601894080538.png
 

Attachments

  • 1601894075473.png
    1601894075473.png
    897.8 KB · Views: 1
Hyo ndio umeleta ndio ya 1970, mbna kuna wakati huaga naona nkm wabongo mnakurupuka tu..
Alafu utakuta hapo kuna mwngine atakuja kuunga
Umeambiwa ni ya 1800s co ya 70s ok tupe tofauti na hii[emoji116][emoji116]
tapatalk_1601888880912.jpeg
 
Nilipita hapo 2 River Mall mwezi wa tatu before lockdown panavutia sana. Kwa sasa ndo eneo naona Wakenya wanajenga kwa kasi majengo mazuri
 
Nilipita hapo 2 River Mall mwezi wa tatu before lockdown panavutia sana. Kwa sasa ndo eneo naona Wakenya wanajenga kwa kasi majengo mazuri
Naton Jr umesikia Mtanzania mwenzako anavyosema?
 
Tuonyeshe yenu ya 1970s
Tz co Satanic country nmeshakuambia na usitegemee ipo cku tutaweka hilo dude but kila cku huwa nawaambia linapokuja suala la crucial infrastructures hakuna ambayo ipo kenya ukaikosa Tz but kuna ambazo zipo Tz lkn kenya hamna km unabisha twende kazi [emoji3][emoji3]
 
Hivi ninyi wakunya ushamba mnaanza kuacha lini? Mtu mzima unaturingishia bembea za watoto wadogo

Ndio maana nilikuambia nataka kukupa ajira ya uhouseboy ikutoe tongotongo
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom