Hiki kidude (Ferris wheel) Watanzania huwa wanakionea tu kwenye TV

Hiki kidude (Ferris wheel) Watanzania huwa wanakionea tu kwenye TV

Tz co Satanic country nmeshakuambia na usitegemee ipo cku tutaweka hilo dude but kila cku huwa nawaambia linapokuja suala la crucial infrastructures hakuna ambayo ipo kenya ukaikosa Tz but kuna ambazo zipo Tz lkn kenya hamna km unabisha twende kazi [emoji3][emoji3]
Nilishakuambia ile siku kuwa nyie hamna Geothermal power stations. Kenya ndio nchi pekee Afrika inayo power stations za Geothermal. Hata South Afrika hawana.
 
Tz co Satanic country nmeshakuambia na usitegemee ipo cku tutaweka hilo dude but kila cku huwa nawaambia linapokuja suala la crucial infrastructures hakuna ambayo ipo kenya ukaikosa Tz but kuna ambazo zipo Tz lkn kenya hamna km unabisha twende kazi [emoji3][emoji3]
Nionyeshe hii hapo Tanzania. Kama mnayo nahama JF.

images (1).jpeg
images (2).jpeg
images (3).jpeg
 
Nilishakuambia ile siku kuwa nyie hamna Geothermal power stations. Kenya ndio nchi pekee Afrika inayo power stations za Geothermal. Hata South Afrika hawana.
Je, nyie mpo na Natural Gas Power Station!?

Mbona unaleta utoto. Ondoa upumbavu wako hapa.
 
Nilishakuambia ile siku kuwa nyie hamna Geothermal power stations. Kenya ndio nchi pekee Afrika inayo power stations za Geothermal. Hata South Afrika hawana.
Sisi tuna hili dude ambalo likiisha mtakuja nunua umeme kwetu ss hzo geothermal power stations cc za nn? Angalia the giant itself a.k.a JNHP kiboko ya EA (huna ww kitu crucial af mm nsiwe nacho ila kuna ambazo mm nnazo ww huna)[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]

tapatalk_1601897232733.jpeg
 
Tuwe na Geothermal ya nini while hydro power, Gas za kumwaga.
And is cheap
Mwenzako amesema nimuonyeshe miundombinu yoyote iliyo Kenya ambayo haipo Bongo. Sasa nimemuonyesha ila naona sasa unaanza kulialia kama mtoto. Sijui ulikuwa unataka nikubali kuwa ni kweli hakuna miundombinu iliyo Kenya ambayo haipo Bongo? Ulikuwa unataka nikubali kitu ambacho sio kweli?
 
Si wewe ndio umesema hakuna miundombinu iliyopo Kenya ambayo haipo TZ?
Ss mambo mengine ni ya kitoto sn hv niweke geothermal power stations zen nijenge JNHP c itakuwa upuuzi huo? Replacement ya geothermal ni JNHP.
 
Ss mambo mengine ni ya kitoto sn hv niweke geothermal power stations zen nijenge JNHP c itakuwa upuuzi huo? Replacement ya geothermal ni JNHP.
Sasa umekubali kuwa Kenya ina miundombinu ambayo Tanzania haina ama bado unapinga?
 
Mwenzako amesema nimuonyeshe miundombinu yoyote iliyo Kenya ambayo haipo Bongo. Sasa nimemuonyesha ila naona sasa unaanza kulialia kama mtoto. Sijui ulikuwa unataka nikubali kuwa ni kweli hakuna miundombinu iliyo Kenya ambayo haipo Bongo? Ulikuwa unataka nikubali kitu ambacho sio kweli?
Sasa Geothermal ni miundombinu!?

Unajua maana ya miundombinu!?
 
Sasa Geothermal ni miundombinu!?
Unajua maana ya miundombinu!?
Miundombinu ni infrastructure bana. Huwezi nifunza kiswahili. Na kama unadhani power plant sio infrastructure basi wewe
 
Sasa umekubali kuwa Kenya ina miundombinu ambayo Tanzania haina ama bado unapinga?
Tofauti ni kwamba hyo geothermal kwetu co crucial kwa ss cz tayari kuna jnhp ambayo ina perform the same function, ila ingelikuwa ni crucial kwetu tungeshakuwa nayo hyo project but in contrary ni kwamba nyie kuna vitu crucial mnavihitaji na hamuwezi kuwa navyo kwa ss but Tz vipo [emoji3][emoji3]

Angalia jinc tulivyoipiga chini hyo geothermal power plant project [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]

TANZANIA: Ngozi geothermal power plant construction to start in 2021 | Afrik 21
Screenshot_2020-10-05-14-48-09.jpeg
 
Sasa Geothermal ni miundombinu!?
Unajua maana ya miundombinu!?
Twende nao taratibu wataelewa tu cz wana stress mno hawa jamaa thus y wanachanganya ma file ila tunaruka nao hvyo hvyo kichizi chizi km walivyo wao.

The issue here ni kwamba Tz kuna infrastructures zipo huwezi kuta kenya nzima but hakuna infrastructure hata moja ambayo ipo kenya zen isiwepo Tz, anajifanya chizi anataja geothermal power plant wkt anajua tuna JNHP ambayo kazi yake ni ile ile hahahaaa
 
Back
Top Bottom