Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Sawa…Na usiwe unaangalia...
Najiunga kwa week na mpaka week inafika bado nakua na GB za kutosha zinachukuliwa najiunga tena...
Cha week kwa 30k? Kama ni hivi zile Gb 10 unatoboa
Mimi namix cha kutoboa mwezi, ila ndio hata week 2 haziishi.