Hiki kifurushi cha Voda kimeenda wapi?

Hiki kifurushi cha Voda kimeenda wapi?

Na usiwe unaangalia...

Najiunga kwa week na mpaka week inafika bado nakua na GB za kutosha zinachukuliwa najiunga tena...
Sawa…


Cha week kwa 30k? Kama ni hivi zile Gb 10 unatoboa

Mimi namix cha kutoboa mwezi, ila ndio hata week 2 haziishi.
 
Wamekuwa waizi sana.. ni vile hatuna namna sababu ya super net yao.

Mimi alhamis nimeunga Gb1.3 nikajiwashia WiFi kwenye desktop, kutuma vi email vya hapa na pale. Nikamaliza nikasearch kitabu flani google yan jumla hata sijamaliza masaa mawili naona ka msg ndugu mteja kifurushi chako cha internet kimekwisha.

Nikaunga tena kile buku mb 750 kusoma email .. ilikuwa ina files 2 za kudownload
Sijamaliza hata hizo mb nazo zikakata
[emoji1787][emoji1787]

Nikarudia kuunga cha 3k gb 1.3 leo mchana kimeisha.

Kabla ya hayo yote, tar 1 nimeunga jimixie cha 20k wanatoa gb 8.. email nikajitahidi nafungulia kwenye simu lakini wapiiii sijatoboa two weeks, tar 6 sina mb hata 1


Voda wanatufilisi sanaaaaa [emoji31]
Sio windows inaji update?
 
Sawa…


Cha week kwa 30k? Kama ni hivi zile Gb 10 unatoboa

Mimi namix cha kutoboa mwezi, ila ndio hata week 2 haziishi.
Hapana, Jimixie sii unaweka pesa yoyote kuanzia elfu2000 alafu wao wanakupa GB kutokana na pesa yako...

Hua nafanyaga hivyo na haziishi... hiyo elfu30 natumia mwezi mzima na simalizi...

Na mara chache sana natumia simu, muda wote natumia computer...
 
Mi huwa Naseti kila mb100 inakata, nacheki kama matumizi yako sawa
IMG_20220416_220531.jpg
 
Khaa... simu yako itakua ina tatizo...

Au utakua unaangalia sana matusi...

Vyangu mpaka muda wa mwisho wa matumizi unafika bado nakua na GB kibao zinachukuliwa najiunga upya...
Ina tatizo gani basi nidokezee

Matusi siangaliagi.. labda dancing za tiktok.. napo nimefuta app baada ya bundle la 20K kutofika two weeks

Hongera sana, itakuwa ofisini kwenu mna free WiFi eeh?
 
Kwasasa hakuna mtandao wenye nafuu, wote wale wale.
 
Hapana, Jimixie sii unaweka pesa yoyote kuanzia elfu2000 alafu wao wanakupa GB kutokana na pesa yako...

Hua nafanyaga hivyo na haziishi... hiyo elfu30 natumia mwezi mzima na simalizi...

Na mara chache sana natumia simu, muda wote natumia computer...
Najua inavyofanya kazi.. kuna jimixie siku, week mpaka mwezi.

Mimi jimixie mwezi kwa 20k wananipa gb 8 na dk kadhaa.
Kwa 20k mb tupu wananipa gb 11

Naonekania kuwa na matumizi ya hovyo ila sijui nakosea wapi!!
 
Ina tatizo gani basi nidokezee

Matusi siangaliagi.. labda dancing za tiktok.. napo nimefuta app baada ya bundle la 20K kutofika two weeks

Hongera sana, itakuwa ofisini kwenu mna free WiFi eeh?
Kwani wewe hilo bundle unatumia mpaka ofisini?

Mimi ofisini tuna fibre (Wifi) natumia wifi ya kazini...

Home nina modem ina line ya Voda... napo pia naweza sema wifi...

Simu natumia mara chache sana au nisitumie kabisa...
 
Kwani wewe hilo bundle unatumia mpaka ofisini?

Mimi ofisini tuna fibre (Wifi) natumia wifi ya kazini...

Home nina modem ina line ya Voda... napo pia naweza sema wifi...

Simu natumia mara chache sana au nisitumie kabisa...
Bundle natumia mpaka ofisini ndiyo.


Una free WiFi kumbe ndio maana una ka unafuu, safi.
 
Bundle natumia mpaka ofisini ndiyo.


Una free WiFi kumbe ndio maana una ka unafuu, safi.
Basi siyo kosa lako... kama unatumia mpaka ofisini...

Yeah, Wifi every where...

Pole sana...
 
Wamekuwa waizi sana.. ni vile hatuna namna sababu ya super net yao.

Mimi alhamis nimeunga Gb1.3 nikajiwashia WiFi kwenye desktop, kutuma vi email vya hapa na pale. Nikamaliza nikasearch kitabu flani google yan jumla hata sijamaliza masaa mawili naona ka msg ndugu mteja kifurushi chako cha internet kimekwisha.

Nikaunga tena kile buku mb 750 kusoma email .. ilikuwa ina files 2 za kudownload
Sijamaliza hata hizo mb nazo zikakata
🤣🤣

Nikarudia kuunga cha 3k gb 1.3 leo mchana kimeisha.

Kabla ya hayo yote, tar 1 nimeunga jimixie cha 20k wanatoa gb 8.. email nikajitahidi nafungulia kwenye simu lakini wapiiii sijatoboa two weeks, tar 6 sina mb hata 1


Voda wanatufilisi sanaaaaa 😫
Hata kazi mtu huwezi fanya kwa amani.
 
Roho inaniuma sana hapa. Nimenunua GB 3 kwa 5,000 saa tatu na nusu asubuhi, cha Wik. Nimeunga hotspot, mara nyingi nafanya hivi na kwa siku natumia GB 1 hadi 2. Sasa leo hata saa haijaisha wanasema nimetumia 75%, zimebaki 731mb.

Nikasema labda kuna mtu anatumia Wifi yangu. nikachange password. wala hakuna apdate zozote nafanya. Saa hizi eti MB 173. kuna uhuni Vodacom wanatufanyia. Imewahi kukutokea hii?
Ndiyo maana Wote tunaojitambua ( Kiakili ) tuko zetu tu Airtel ambako kila Kitu kiko tambarare huku mazuri mengine yakija na yakibuniwa vile vile.

Airtel THE SMARTPHONE NETWORK.

Happy Easter.
 
Back
Top Bottom