proxy
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 1,479
- 1,348
Tuma Benylin 4Flu ,pamoja na Amoxyline kikohozi sijui mafua kwisha kabisa.Usisahau pia kupiga Tangawizi na Limau
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu wanguTuma Benylin 4Flu ,pamoja na Amoxyline kikohozi sijui mafua kwisha kabisa.Usisahau pia kupiga Tangawizi na Limau
Sent using Jamii Forums mobile app
Chukua limao, lioshe vizuri bila kumenya, katakata kisha chukua tangawizi ioshe ukatekate vipande vidogovidogo. Chemsha maji kisha saga kwa Brenda huku ukitumia hayo maji ya moto. Chuja kisha kunywa glasi moja asubuhi na moja jioni. Kumbuka usiiweke kwenye friji kwasababu sio rahisi kuharibika ata wiki. Kisha njoo na mrejesho hapa. Kumbuka usitoe mbegu za limao wala maganda yake, vyote saga. Ni chungu sana ila ndio dawa kwa sasaKuna upepo wa Mafua na kikohozi unasumbua sana kuanzia January, February na sasa March! Familia nzima wanakohoa, kuanzia watoto wadogo, wanafunzi na hata wakubwa!
Mara nyingi navyojua kikohozi huwa ni cha mda mfupi kinapoa baada ya dawa! Lakini hiki cha awamu hii kinapungua tu lakini hakiishi wala hakisikii dawa za hospital wa mitishamba!
Familia nzima ni mwendo wa Koh koh koh koh! Hata haieleweki ni hapa tu au kuna upepo mbaya?
Mwenye uelewa juu ya hili atuambie! Hospital kila tukienda vipimo vyote wanasema ni mafua tu yakawaida!