Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,321
- 10,075
marhaba,i love you!sijambo shkamooo! (ole wako usiitikie). Lol
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
marhaba,i love you!sijambo shkamooo! (ole wako usiitikie). Lol
Hata mie nimeyaelewa hivyo maneno ya Marytina...
Kwetu sie wenye uzoefu...ikitokea ukakutana na kitu kinachoboa kwenye mambo ya MMU na ngono...utakiacha kwenye mlango utakaotokea....Huwezi kukikumbuka tena na huyo mtu anaishia kwenye trash bin!!
Ila huyo Marytina anaandamwa na hilo zimwi indicating kwamba kazi iliyofanywa na wifi imepiga bonge la mhuri ambao umekuwa mgumu kwake kuufuta!!
Na hapa keshapata kipimo, kaka mtu sijui atafanyaje kama hatofikia kiwango hicho, basi itakula kwake!
marhaba,i love you!
Katika hali ya kawaida hutakiwi kuweka vitu vyako nje nje, iwe mbele ya wanaume AU wanawake. Wasalaam!Kumbe hata Msichana mwenzako unaweza kumtega kwa chu--, mbona naye anazo ama sijakuelewa, mie nilizani mtego kwa wanaume tu!?
Kweli kabisa na ndio mana twaletewa mafuriko manake zambi zimekuwa nyingi.
Katika hali ya kawaida hutakiwi kuweka vitu vyako nje nje, iwe mbele ya wanaume AU wanawake. Wasalaam!
Mi sikupitia boarding wala hostel ila naamini tabia za watu zinapishana. watakuepo ambao wanafanya hivo, na wengine hawafanyi. Mi nina tabia ya kujistiri zaidi.Hapana bwana,
Niliambiwa kuwa kule hostel huwa mnasafula hadi kifaa cha mwisho na kutembea hadi bafuni....kweli au si kweli???
Anatafuta kisa chengine akikipata atarejea vuta subira.
ulifika kilele? mara ngapi, ulijisikiaje? utarudia?
Naona umerudi... jibu basi swali langu...usikuhadithie mtu
Ni afadhali ya wasiojua chochote kuhusu mungu kuliko wanaojua afu wanatenda kinyume na mapenzi yake....Kama ingekuwa ghadhabu ya Mungu..bas uko Copacabana wasngepona..they knw nt only little,bt nothing abt God...Yeye n Mwng wa rehema si mwepesi wa hasira!
Khaaa! We Mwali wewe! Mbona unang'ang'ania kujibiwa hivyo??? Hilo jibu wataka kulifanyia nini?..lolNaona umerudi... jibu basi swali langu...
Sweetlady, hivi unajua hili swali limeninyima usingizi kabisa. yaani kila nikifunga macho najiuliza: kwani Marytina hakuona hatari ya kulalabila nguo??? lolKhaaa! We Mwali wewe! Mbona unang'ang'ania kujibiwa hivyo??? Hilo jibu wataka kulifanyia nini?..lol
shem yako kwa nani?love you too shem.