Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
- Thread starter
- #141
Sasa humu nataniana na watu Sina Tena ule userious na kupata mtuNakuaidia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa humu nataniana na watu Sina Tena ule userious na kupata mtuNakuaidia
Utapata tu kazaSasa humu nataniana na watu Sina Tena ule userious na kupata mtu
NimepataUtapata tu kaza
Are you sure??Single moms are not guilty. They deserve love, care and respect
mpaka wewe umepata!?Mie na chibabu wangu Tosha mwaya
Eh ulizaniaje na Badoo upo hapo single kama choo kilichojaampaka wewe umepata!?
Wanaume tuna huruma sana
[emoji1787][emoji119]Huu mwaka uishe tu dadeki. Mi ushanichosha tayari!
Hizi ni dalili hujapata kidogo nishangae mwanaume kudate na weweEh ulizaniaje na Badoo upo hapo single kama choo kilichojaa
Nafuu wewe umekamilikaHizi ni dalili hujapata kidogo nishangae mwanaume kudate na wewe
inahitajika awe na huruma sana kama ya manabii.
Hii ni lugha mpya kabisa tufafanuliemangtlemen
🤣🤣🤣
🤣🤣Kiukweli sjawahi kudate na Mwanamke wa jf ever...ninachoamin humu kuna wadada wale wazoefu hasa wa maisha na kilometres zao zmeenda sana.
Mimi i never expect kukutana na mdada mbichi humu ..huo ndo ukwel humu yamejaa madem yaliyomaliza vyuo na single mama..
Tutawezana kabisa😂😂😂Nakupa Mwachiluwi