matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Kutoogopa au kuzungumzia mapepo, wachawi, majini kwa aina zake.
Cha ajabu, mapambano dhidi ya haya madubwana ndio imegeuzwa kuwa kigezo cha ubora wa imani.
Kama wasiamini Mungu (atheists) kwa aina zao wanaonyesha ujasiri wa kuyapuuza na hata kutoyazungumzia au kuyapa promo wanaomcha Mungu na kuamini uwezo wake hawapaswi kabisa kuyakubwisha kwa namna yoyote ile.
Wanaomuamini Mungu wanatakiwa kuogopwa na waganga, watumishi feki, wachawi, majini kwa aina zao. Kama unayaogopa imani yako inazidiwa hata na wasioamini kabisa uwepo wa Mungu.
Usiingie mahala ambapo hivyo vitu na kazi za yule bwana mdogo ibrisi anasifiwa na kupewa airtime. Hapo panaua imani yako.
Ni hayo tu
Mtumishi Matunduizi
Cha ajabu, mapambano dhidi ya haya madubwana ndio imegeuzwa kuwa kigezo cha ubora wa imani.
Kama wasiamini Mungu (atheists) kwa aina zao wanaonyesha ujasiri wa kuyapuuza na hata kutoyazungumzia au kuyapa promo wanaomcha Mungu na kuamini uwezo wake hawapaswi kabisa kuyakubwisha kwa namna yoyote ile.
Wanaomuamini Mungu wanatakiwa kuogopwa na waganga, watumishi feki, wachawi, majini kwa aina zao. Kama unayaogopa imani yako inazidiwa hata na wasioamini kabisa uwepo wa Mungu.
Usiingie mahala ambapo hivyo vitu na kazi za yule bwana mdogo ibrisi anasifiwa na kupewa airtime. Hapo panaua imani yako.
Ni hayo tu
Mtumishi Matunduizi