Hiki ndicho kizazi cha sasa cha hawa mabinti

Jobo bado IPO mpendwa, hujasikia habari za mvua na mafuriko huko Kilimanjaro na Kanda ya Ziwa? TMA taarifa zao hazina uhakika, wanafanya kubahatisha tu.
Duh Kiukweli sijafatilia tena ila Mungu atuvushe salama tu
 
Hahaa kwa makusudi ningehakikisha tunausema mtaa mzima ili mradi tu ukosekane muda wa hicho ambacho kingefuata!πŸ˜€πŸ˜€
Hahahahah uzuri kuna namna ya kucheza na main switch ndani ya shuka πŸ€“πŸ€“πŸ€“
 
Paka wako jinsia gani Mkuu..
Hapo wanataka kupasha vikojoleo. ....Kuna Nyau itapewa ujauzito...Kama paka wako Ni ke Jiandae kupokea Vitoto
 
Paka wako jinsia gani Mkuu..
Hapo wanataka kupasha vikojoleo. ....Kuna Nyau itapewa ujauzito...Kama paka wako Ni ke Jiandae kupokea Vitoto
Paka wangu ni kamanz bikra kabisa nimekalea toka kako ng’aa aaah! Huwa hatokagi tokagi nje ila naona leo amefungiwa nje!
 
Matomboy na mashoga wengi wanatoka Arusha sijuwi kuna nini pale Arusha.Mashoga wengi unaowaona Zanzibar ukiuliza asili yao wanakwambia Arusha
Matomboys Sasa hivi Ni kila sehemu Mkuu...
Shule za boarding za Unisex ,
Television dramas/movies zinatuharibia vijana...
 
Paka wangu ni kamanz bikra kabisa nimekalea toka kako ng’aa aaah! Huwa hatokagi tokagi nje ila naona leo amefungiwa nje!
Kasipopandwa Leo hizo kelele zitaendelea tuuh ...
Na mating ya paka huwa Ni vurugu tupu...
Na Kama kanawashwa ukikafungia ndani kataanza Tabia za ajabu..like ukali..kukwarua watu..kujisaidia haha ndogo hovyo...
Na zingine mingi wacha katolewe bikra...
Nitunzie Tutoto Mkuu...
Hongera in Advance...
πŸ˜‚πŸ˜‚
Nyaubikra leo utakomA
 
Hahahah kana cheza sana ndani vurugu mingi πŸ€“πŸ€“πŸ€“ huenda kalienda kula tunda!
 
Hao dawa Yao ni kupiga pumbu alaf unachora hao ni type ya akina salama, sjui DJ Fety , mamy baibe , Mina ally and the like ...hakuna kuweka kambi hapo....
Mbona hapo wasagwa na wasaga ni mmoja tu
 
sometimes nafikiria hizi siri zangu zikitoka nje familia yangu itachukuliaje ila end of the day; kila mtu ana dark side yake and this is mine. I'm gay and its fine
Aiseee[emoji855][emoji855][emoji855]
 
Hivi wana wazazi hawa??? Bado nashindwa kuamini inakuwaje kuwaje yaani mpaka mtoto anafikia stage hiyo.
Wengi wao wanakua wametoka vijijini na kwenda kuishi mijini ambako hakuna uwepo wa wazazi wala ndugu wa karibu. Internet is the only best partner they use to learn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…