financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Duh Kiukweli sijafatilia tena ila Mungu atuvushe salama tuJobo bado IPO mpendwa, hujasikia habari za mvua na mafuriko huko Kilimanjaro na Kanda ya Ziwa? TMA taarifa zao hazina uhakika, wanafanya kubahatisha tu.
Hahaa hapo sawaπTungemsema hata jirani tu muda uende mpenzi wanguπππ
Unajifanya hujui nini kingefuata baada ya kumsema jiraniπππHahaa hapo sawaπ
Hahaa kwa makusudi ningehakikisha tunausema mtaa mzima ili mradi tu ukosekane muda wa hicho ambacho kingefuata!ππUnajifanya hujui nini kingefuata baada ya kumsema jiraniπππ
Hahahahah uzuri kuna namna ya kucheza na main switch ndani ya shuka π€π€π€Hahaa kwa makusudi ningehakikisha tunausema mtaa mzima ili mradi tu ukosekane muda wa hicho ambacho kingefuata!ππ
She/he is already fucked up bro.Somebody dippin his dick in your damn booty π€π€π€ broda better choose a new game! You gonna be fucked up!!!
Paka wako jinsia gani Mkuu..Hahahahah kiusalama huwa tunachungulia dirishani kwanza πππ! Namuona paka wangu ila analia kiboya na kuna mwengine kama anataja jina langu kipaka paka ile nikaona hee!
Sasa simuoni naona wakaitania mbali huko ila mie silali tena hadi alfajiri ya saa 12
Paka wangu ni kamanz bikra kabisa nimekalea toka kako ngβaa aaah! Huwa hatokagi tokagi nje ila naona leo amefungiwa nje!Paka wako jinsia gani Mkuu..
Hapo wanataka kupasha vikojoleo. ....Kuna Nyau itapewa ujauzito...Kama paka wako Ni ke Jiandae kupokea Vitoto
Matomboys Sasa hivi Ni kila sehemu Mkuu...Matomboy na mashoga wengi wanatoka Arusha sijuwi kuna nini pale Arusha.Mashoga wengi unaowaona Zanzibar ukiuliza asili yao wanakwambia Arusha
Usiogope, ni kawaida tu.Duh Kiukweli sijafatilia tena ila Mungu atuvushe salama tu
Kasipopandwa Leo hizo kelele zitaendelea tuuh ...Paka wangu ni kamanz bikra kabisa nimekalea toka kako ngβaa aaah! Huwa hatokagi tokagi nje ila naona leo amefungiwa nje!
Hahahah kana cheza sana ndani vurugu mingi π€π€π€ huenda kalienda kula tunda!Kasipopandwa Leo hizo kelele zitaendelea tuuh ...
Na mating ya paka huwa Ni vurugu tupu...
Na Kama kanawashwa ukikafungia ndani kataanza Tabia za ajabu..like ukali..kukwarua watu..kujisaidia haha ndogo hovyo...
Na zingine mingi wacha katolewe bikra...
Nitunzie Tutoto Mkuu...
Hongera in Advance...
ππ
Nyaubikra leo utakomA
Rudi Kwenye comment yke ya mwanzo...hv kwani kuna shoga mwanamke?Nijibu Basi ndo maana nimeuliza
Wewe ni shoga???sometimes nafikiria hizi siri zangu zikitoka nje familia yangu itachukuliaje ila end of the day; kila mtu ana dark side yake and this is mine. I'm gay and its fine
Imakulata anajiita qulatexxxKuna yule mmoja famous sana insta ana dreads jina nimesahau anauza nguo,viatu,raba suruali jeans za kiume hasa sasa kufungua duka k/koo.
Uchafu wa mwili au...Halafu tatizo la Hawa watu Ni wachafu na Njaa Kali full mizinga ya kununua pombe na show off za mitandaoni
Mbona hapo wasagwa na wasaga ni mmoja tuHao dawa Yao ni kupiga pumbu alaf unachora hao ni type ya akina salama, sjui DJ Fety , mamy baibe , Mina ally and the like ...hakuna kuweka kambi hapo....
Aiseee[emoji855][emoji855][emoji855]sometimes nafikiria hizi siri zangu zikitoka nje familia yangu itachukuliaje ila end of the day; kila mtu ana dark side yake and this is mine. I'm gay and its fine
Wengi wao wanakua wametoka vijijini na kwenda kuishi mijini ambako hakuna uwepo wa wazazi wala ndugu wa karibu. Internet is the only best partner they use to learnHivi wana wazazi hawa??? Bado nashindwa kuamini inakuwaje kuwaje yaani mpaka mtoto anafikia stage hiyo.