Hiki ndio kikosi cha kwanza, SimbA SC 2020/2021.

Hiki ndio kikosi cha kwanza, SimbA SC 2020/2021.

Eti timu ya "wananchi" kwa vle hamna pesa ni mwendo wa MIBAKULI. Nakukumbusha zle zama za MANJI haikuitwa ya hao unaowaita wananchi. Mjitafakari aisee
Hahaa Mkuu sisi ndio mabingwa wa kihistoria na pia Yanga sc ni kubwa kuliko MANJI.
Wape salaaaaaam
 
Yupo Congo hapo kafuata saini za mafundi Tuisila Kisinda, Mukoko Tonombe, Yanick Bangala pamoja na Jean Marc Makusu Mundele.
Wape Salaaaaaam.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2]yaani YAnga wamsajili Mundele?

Acha mzaha wewe. Huyo mundele aliuzwa uarabuni zaidi ya milioni 900

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom