SIMBA SC YAFUNGA USAJILI WAKE KWA CHRISTOPHER MUGALU, TUKUTANE SIMBA DAY
_________________________
OUT/NJE. IN/NDANI.
__[emoji3596]_____&&&&&___[emoji3596]__
1:Haruna Shamte - David Kameta
2:Tairone Santos - Joshua Onyango (Gor Mahia)
3:Yusuph Mlipili - Ibrahim Ame (Coastal Union)
4: Sharaf Shiboub - Larry Bwalya (Power Daynamos)
5: Deogratius Kanda - Benard Morrison (Yanga SC)
6: Walker Da Silva - Christopher Mugalu (Lusaka Daymanos)
7: Rashid Juma - Charles Ilamfya(KMC).
Ripoti ya SVEN ilisema nyota saba(7) wakigeni na nyota wanne (4) wakigeni na nyota watatu(3) wakizawa.
Mazoezi ya Simba SC yataanza kesho Jumatatu 17, Aug 2020. (MO Simba Arena) chini ya kocha SVEN ambaye leo katua nchini kuelekea Kwenye 'Tamasha Ya SIMBA DAY' litakalofanyika Jumamosi 22,Agosti 2020. Uwanja Wa Mkapa.
Kulitaka mwana, Kulipewa mwana.
cc OKWI BOBAN SUNZU