Hiki ndio kikosi cha kwanza, SimbA SC 2020/2021.

Hiki ndio kikosi cha kwanza, SimbA SC 2020/2021.

hakuna beki wa kumuweka wawa nje hapo kenedy onyango na ame wagombanie hyo namba nne

Sent from my M4 using JamiiForums mobile app
Tatizo la Wawa hawezi zuia mipira ya juu ya Kross au kona.
Ndio maana tulipigwa nyingi mwaka juzi kwenye Club Bingwa.

Wawa nafaa zaidi kucheza namba Mbili yaani mbadala wa kapombe. Yaani beki wa Pembeni.
Kennedi kidogo anaweza ila bado mzito kwa mechi za kimataifa.
Erasto naye pia ni kwa mzito sbb ya umri.
5 na 4 ni za Ame na Onyango
 
Back to Back miaka yote ubingwa ni msimbazi pekee.

1. Manula
2. Kapombe / Wawa
3. Shabalala
4. Ame from Coast Union
5 Joshi Onyango
6. Fraga dos Santos
7. Moquisone LuiZ danger
8. CCC
9. Chris Mugalu
10. Rally Bwalya locomotive
11. Morrisone
12. Mohammedi MO.

Hasta La Vista.
Ongeza na Karia, Kidau pamoja na Ndimbo kwa nini tusichukue back to back!?
 
Kocha wa timu B kocha wetu mkuu atawasili ndani ya siku mbili (Ibenge)
Wape salaaaam
Daima mbele nyuma mwiko
kwa haya mapicha anayorusha Injinia uchwara ole wake asirudi na kitu. Yanga watamla tako. Hataki kubadilika kabisa,amepiga mapicha na Papy,BM kumbe sanaa. Awe na usiri ili hata deal likikwama hakuna anayejua zaidi ya uongozi
 
Toa Wawa weka Ame.
Toa Mkude weka Fraga
Nakuunga mkono kwa asilimia 💯 kwa hiko kikosi chake ukiangalia karibia wachezaji wote Si wakabaji so fraga ndio mtu sahihi kucheza instead of mkude kwa sababu naturally fraga Ni defensive midfielder kama kante wakati mkude Ni holding midfielder Kama wakina jorginho wa Chelsea
 
Ngojea akutane na winga zenye Kasi utamkataa Wawa Ni Bora kwa ligi yetu only not otherwise.Me namkubali Kenneth Juma
Watu hawamjui wawa akiwa pressed anachoweza kufanya ni kumpiga MTU kwanja na kupata Red ,pili Magoli mengi simba inafungwa kwa set pieces ,yanga walipogundua wamemsajiri mwamyeto bila AME waliona kosa kubwa kwasababu wamesajiri kiongozi(sweeper) ambaye anaitaji MTU wa kumtuma ambaye ni mwepesi ,Simba wakaingilia Kati kuharibu dili.Josh&Ame wanaweza kuleta kitu kwenye defence
 
Mimi ni shabiki nguli wa Timu ya wananchi Young Africans Sc, kusema ukweli nakosa amani kabisa kila nikifikiria tutakutana na Simba sc mara mbili kwenye ligi kuu msimu ujao, na kila nikiangalia kikosi chao kinavyotisha naona tukipigwa 5 tena kama kipindi kile.
Daima mbele nyuma mwiko.
Wewe sio yanga
 
Back
Top Bottom