Hiki ndio kikosi cha kwanza, SimbA SC 2020/2021.

Hapa ndo nilipopataka mimi,
Mkude kwa fraga inatakiwa asubiri kwanza kikao kiishe.
 
Mkude anasubiri kwa Fraga kwa sasa
Mkuu Simba imeundwa kupitia Mkude mifumo mingi yakiuchezaji ya Simba inamtaka Mkude awepo uwanjani ndie anae ishape timu na kuitaka timu icheze kwa rythm ipi, hapo nikuangalia unacheza na nani na unaiaproach game vipi.ofcourse Fraga ni mchezaji muhimu pia, ni iron man wakutibua mipango chanya ya wapinzani.
 

Kikosi cha jasho na damu,ili kupata namba ufanye kazi
 
Panga upangavyo, mkude na fraga waanze pamoja, wameonesha kitu kikubwa sana msimu huu walipocheza pamoja
 
formation ya kikosi cha hivi karibuni naona ilikuwa inafaa sana. kuweka defensive mido Fraga na Mkude. Chama/Bwalya, Morison/Kahata na Luis wanatosha kumsaidia striker mmoja
Hapa unanikumbusha. Msimu uliopita ilitakiwa aanze either Boko or Kagere. Makocha wote walishindwa kuamua. Lakini Scevn aliweza kumpiga bechi mmoja. Hii imekaa vzuri hasa kwa kahata/BM na Chama/Bwalya. PamojA.
 
Umesahau jingine, Wazururaji Fc.
We unakielewa alichoenda kukifanya Injiania Hersie kama si uzururaji.

tazama hii aibu. hakuna anayejua anaenda kufanya nini. pengine anatafuta mchezaji,sasa nini tija ya picha hizo,kwa nini isiwe japo la kimya na matokeo ndiyo yawe wazi? asipofanikiwa atawaambia nini mashabiki.
 
View attachment 1540046
tazama hii aibu. hakuna anayejua anaenda kufanya nini. pengine anatafuta mchezaji,sasa nini tija ya picha hizo,kwa nini isiwe japo la kimya na matokeo ndiyo yawe wazi? asipofanikiwa atawaambia nini mashabiki.
Anawadhalilisha ' MaEngeneer ' Tumkumbushe Ligi itaanza 06/09. Asije akasema SimbA SC anahonga timu pinzani ili zimkazie uwanjani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…