Hiki ndiyo kituko nlichowahi kukutana nacho makaburini usiku. Sitosahau

Yeah mimi binafsi nashukuru sijawahi kukutana na hayo mauzauza na naomba nisikutane nayo mpaka siku nakufa ila naamini hivi viumbe vipo sana tuu
Ndio ndugu, hivi viumbe vipo tena tuko navyo kila sehemu. Ila huwa havipendi kuonekana mpaka pale kunapokuwa na sababu maalum ya wao kufanya hivyo.
 
Maeneo ya mapori na ukimya ukimya ndio huwa makazi yao. Unaweza kuwa unapita kila siku usiwaone, lakini wao wanakuona ila wanaamua kukuchunia tu.

Sasa siku wakitaka kukuonesha vihoja ndo wanafanya kama walivyokufanyia au nifanyia mimi.
 
 
Hapo ndio tangawizi ya hii chai ilipo...
Dogo we utakuwa wa juzi juzi.
miaka hiyo kulikuwa na Cinema za ukutani kwenye kumbi chache za mabar kideo kilikuja baadae sana na wamiliki walikuwa wachache so haikuwa ajabu kutoka Buguruni hadi Mapipa kucheck videos, Mi mwenyewe nilikuwa natoka kigogo hadi Mapipa au Manzese Midizini/Tandale kufuata hizo Muvi
 

Sawa Mkuu
 
Watu hawajui tu hao
 
Ulikimbiaje kumshinda pepo? Speed ya pepo ni sawa na mwanga unavyosafiri kwa kasi. Ni chai ya tangawizi.
 
Sahihi kabisa nduguyangu. Huyo ni mtoto wa 2005, ndomaana haya mambo hayafahamu.
 
Ulikimbiaje kumshinda pepo? Speed ya pepo ni sawa na mwanga unavyosafiri kwa kasi. Ni chai ya tangawizi.
Pepo alishindwa na nguvu za Mungu. Si unaona hata mimi mwenyewe sikujua nimefikaje fikaje Magomeni mapipa. Hii inamaana kuwa nilipata nguvu ya ziada ya kunitoa pale bila mimi mwenyewe kujijua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…