Mfupawasokwe
Member
- Sep 12, 2024
- 24
- 29
View attachment 3270216
View attachment 3270217
Hizi ni picha zikionesha umati wa watu kutoka taifa la marekani ambao ni waislamu wakiswali swala ya Taraweeh eneo la Times square katika jiji la New york nchini Marekani. Kwa ishara hii naona kabisa mpaka miaka ya 2050 ukristo utakuwa unaelekea kujifia huko nchini Marekani.
Kwani ukijifia unadhani utaongezeka nini bro, kufa kupo pale pale,watu Kama Hawa wamejaa mentality za udini basi unafarijika mno moyoni kuwa mtakuwa wengi,View attachment 3270216
View attachment 3270217
Hizi ni picha zikionesha umati wa watu kutoka taifa la marekani ambao ni waislamu wakiswali swala ya Taraweeh eneo la Times square katika jiji la New york nchini Marekani. Kwa ishara hii naona kabisa mpaka miaka ya 2050 ukristo utakuwa unaelekea kujifia huko nchini Marekani.
Hawa ni wa kuwafariji hawa.We jamaa bhana kwaio picha ndo imekupa takwimu Ata wakristo wangetak wangesali times square 😹😹😹😹 stop having an absent minded mind 💔
Mbali sana huko.View attachment 3270216
View attachment 3270217
Hizi ni picha zikionesha umati wa watu kutoka taifa la marekani ambao ni waislamu wakiswali swala ya Taraweeh eneo la Times square katika jiji la New york nchini Marekani. Kwa ishara hii naona kabisa mpaka miaka ya 2050 ukristo utakuwa unaelekea kujifia huko nchini Marekani.
Naona mnazidi kutanua goli tu imekuwa 2050 tena? Niwaambie tu mafuriko hayazuiliki kwa mikonoView attachment 3270216
View attachment 3270217
Hizi ni picha zikionesha umati wa watu kutoka taifa la marekani ambao ni waislamu wakiswali swala ya Taraweeh eneo la Times square katika jiji la New york nchini Marekani. Kwa ishara hii naona kabisa mpaka miaka ya 2050 ukristo utakuwa unaelekea kujifia huko nchini Marekani.
Hizi picha mbili ndio kielelezo chako? Vipi na wao wakikuonesha picha jinsi wanavojaa makanisani utasema baada ya miaka 50 uislam utakua umepotea?View attachment 3270216
View attachment 3270217
Hizi ni picha zikionesha umati wa watu kutoka taifa la marekani ambao ni waislamu wakiswali swala ya Taraweeh eneo la Times square katika jiji la New york nchini Marekani. Kwa ishara hii naona kabisa mpaka miaka ya 2050 ukristo utakuwa unaelekea kujifia huko nchini Marekani.
hali ibaki kama ilivyo sasa ili ushoga uendelee kushamiri kama unavyopigwa chapuo na papa francis and the entire christian worldTuseme ikatokea hivyo kweli, na ukristo ukafutika watu wote wakawa waislamu.
Je, dunia itakua sehemu nzuri zaidi ya kuishi? Amani itaongezeka? Uhalifu utapungua? Vitendo vya ugaidi, mauaji, rushwa, ubaguzi, unyanyasaji wa kijinsia, ushoga nk vitaisha?
Kama hakutakua na mabadiliko yoyote katika maisha, mimi naona bora hali ibaki kama ilivyo sasa.
Kabisa 😹😹Hawa ni wa kuwafariji hawa.
Nchi za kiislamu hakuna ushoga?hali ibaki kama ilivyo sasa ili ushoga uendelee kushamiri kama unavyopigwa chapuo na papa francis and the entire christian world
kuna jitihada kubwa sana kupromoti uislam Tanzania kipindi hichi hasa mwezi huu, angalia main stream media, tena state media kila saa ni swaum, swaum, mwezi mtukufu, tarawea utadhani tupo saudia na somalia kunako mataifa ya kiislam.Hata hapa Tanzania pamoja na kwamba sasa tupo wengi ikija kufika 2045 tukiwa tunasubiri hiyo 2050 America kuwa taifa la kiislamu bongo nayo itakuwa ishajaa waislam.
UshuziView attachment 3270216
View attachment 3270217
Hizi ni picha zikionesha umati wa watu kutoka taifa la marekani ambao ni waislamu wakiswali swala ya Taraweeh eneo la Times square katika jiji la New york nchini Marekani. Kwa ishara hii naona kabisa mpaka miaka ya 2050 ukristo utakuwa unaelekea kujifia huko nchini Marekani.
Wewe asilimia 80 ya hao unaowaona wameenda kufata msosi tu🥶View attachment 3270216
View attachment 3270217
Hizi ni picha zikionesha umati wa watu kutoka taifa la marekani ambao ni waislamu wakiswali swala ya Taraweeh eneo la Times square katika jiji la New york nchini Marekani. Kwa ishara hii naona kabisa mpaka miaka ya 2050 ukristo utakuwa unaelekea kujifia huko nchini Marekani.