Dr Louis
JF-Expert Member
- Nov 12, 2017
- 443
- 426
Vb
Huwa najiuliza kama mtu amesoma kuanzia darasa la kwanza mpaka la saba na labda akaenda sekondari pia, inawezekanajevhu anaandika hivi:
Neno Hakuna u akuna, Usipite anaandika husipite, Ibada anaandika Hibada, hifadhi anaandika ifadhi, akiba anaandika hakiba, usitupe anaandika husitupe, mahindi anaandika maindi, hayupo anaandika ayupo. n.k.
Yani nimebaki najiuliza hiki ni kiswahili cha kisasa au?