Hiki ni kitu cha ajabu sana nimekiona kwa macho yangu

Hiki ni kitu cha ajabu sana nimekiona kwa macho yangu

Tajiri Tanzanite

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2016
Posts
2,536
Reaction score
4,621
Hapo vip!!

Nina imani kuna wataalam mbali humu wanaweza kunisaidia hili.

Leo baada ya kuamka asubuhi,katika kuangaza macho huku na kule pale ndani kwangu, niokaona imeandikwa namba 8 chini kwa rangi nyeupe kama ya chaki.

Na nina imani hakuna mtu aliyeandika kwasababu week mbili nimekuwa nalala mwenyewe,nikitoka kazini napitia kwenye biashara zangu then nikifika najiangusha tu.

Hii ishara inanichanganya sana, nina imani kuna watu humu wanaweza kuniambia jambo pasipo kuleta kejeli.

Karibuni kwa maoni na ushauri
 
Imeandikwa sakafuni mkuu? Ukubwa wake ni aje

Ungepiga picha mkuu
 
Wamekugeuza mlango wa nane.... yaani vitu vitakuwa vinaingia na kutoka .... hutakaa uwe na kitu cha kudumu.

Kwa akili yako utaenda kwa Sangoma! Nooo nenda kwa YESU
 
Hapo vip!!

Nina imani kuna wataalam mbali humu wanaweza kunisaidia hili.
Leo baada ya kuamka asubuhi,mara kupapasa huku na kule pale ndani kwangu,niokaona imeandikwa namba 8 chini kwa rangi nyeupe kama ya chaki.
Na nina imani hakuna mtu aliyeandika kwasababu week mbili nimekuwa nalala mwenyewe,nikitoka kazini napitia kwenye biashara zangu then nikifika najiangusha tu.

Hii ishara inanichanganya sana,ninaimani kuna watu humu wanaweza kuniambia jambo pasipo kuleta kejeli.

Karibuni kwa maoni na ushauri
Namba 8 yamaanisha utakufa baada ya siku 8, pia yawezekana upanga namba 8 ndio ukatumika. Kuandikwa chini yamaanisha utazikwa ardhini siku hiyo ya 8.
 
Hapo vip!!

Nina imani kuna wataalam mbali humu wanaweza kunisaidia hili.
Leo baada ya kuamka asubuhi,mara kupapasa huku na kule pale ndani kwangu,niokaona imeandikwa namba 8 chini kwa rangi nyeupe kama ya chaki.
Na nina imani hakuna mtu aliyeandika kwasababu week mbili nimekuwa nalala mwenyewe,nikitoka kazini napitia kwenye biashara zangu then nikifika najiangusha tu.

Hii ishara inanichanganya sana,ninaimani kuna watu humu wanaweza kuniambia jambo pasipo kuleta kejeli.

Karibuni kwa maoni na ushauri
Muumba ndio kila kitu mkuu!. Uwe na kawaida ya kusali au kufanya dua kulingana na Imani yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom