Hiki ni kitu cha ajabu sana nimekiona kwa macho yangu

Hiki ni kitu cha ajabu sana nimekiona kwa macho yangu

Kwa nini upapase..

Time is a drug. Too much of it kills you
 
🤣🤣🤣🤣🤣! Hivi tumefika huku jamani?? Doh...! Tegemea kuwa maskini wa kutupwa ukianza imani hizo
 
Namba 8 yamaanisha utakufa baada ya siku 8, pia yawezekana upanga namba 8 ndio ukatumika. Kuandikwa chini yamaanisha utazikwa ardhini siku hiyo ya 8.
Naomba niweke wazi, niliamua kuandika hivi kama kumchalenji mleta mada.

Mimi naamini uwepo wa uchawi ila hilo tukio la namba 8 kujiandika, nachukulia ima ni mtu aliamua kuandika, au ni kiatu chake mwenyewe, au ni mdudu kama mende aliingia kwenye unga kisha akatembea kwa kuzunguka zunguka na kutokea kitu (njia alimopita) kama hiyo 8.

Nilitaka kuonesha njia mojawapo waganga wa kienyeji wanatumia kutusoma akili zetu, wakatujaza khofu kwa mambo yasokuwepo kisha wakatupiga pesa ndefu.

Mleta mada nilimjengea khofu kubwa, nikamvutia PM (mara nyingi matapeli hupenda kufanya mambo yao faragha), akaja ila tumediscuss na kushauriana mambo tofauti na alivyokuwa akidhania.

Kwa mfano hata kama ingekuwa kweli kifo cha mtu kimekaribia, hakuna yeyote (awe mchungaji, shekhe au mganga wa kienyeji) ambaye anaweza kukichelewesha au kukiwahisha mda wake.
 
Chukua mifupa ya kitimoto ya kutosha kidogo kisha tupia hapo kwenye hyo upuuzi baada ya hapo kwisha habari yake
 
Tafuta chumvi ya mawe mwanga kwenye kila pembe ya chumba alafu malizia na kwenye hayo maadishi ya namba 8 ..... Baada ya siku mbili deki chumba kizima pamoja na hayo maadishi, ukimaliza kudeki mwaga tena chumvi,
Alafu uje unishukuru [emoji124][emoji124]
 
Naomba niweke wazi, niliamua kuandika hivi kama kumchalenji mleta mada.

Mimi naamini uwepo wa uchawi ila hilo tukio la namba 8 kujiandika, nachukulia ima ni mtu aliamua kuandika, au ni kiatu chake mwenyewe, au ni mdudu kama mende aliingia kwenye unga kisha akatembea kwa kuzunguka zunguka na kutokea kitu (njia alimopita) kama hiyo 8.

Nilitaka kuonesha njia mojawapo waganga wa kienyeji wanatumia kutusoma akili zetu, wakatujaza khofu kwa mambo yasokuwepo kisha wakatupiga pesa ndefu.

Mleta mada nilimjengea khofu kubwa, nikamvutia PM (mara nyingi matapeli hupenda kufanya mambo yao faragha), akaja ila tumediscuss na kushauriana mambo tofauti na alivyokuwa akidhania.

Kwa mfano hata kama ingekuwa kweli kifo cha mtu kimekaribia, hakuna yeyote (awe mchungaji, shekhe au mganga wa kienyeji) ambaye anaweza kukichelewesha au kukiwahisha mda wake.


Umenena mkuu!...umemaliza kbs..waganga ni wnasaikolojia wazuri sana san
 
Dah...Namba nane kama ukiichukulia kwa uzito wake ...kwanza namba 8 ni kidesimali kisha inagawika 2 kisha kwa 4...tafsiri yake Namba nane kwa kidigitali ni 1000 na hapa ndipo kwenye shida ya kutafsiri...
1000 ni namba adimu sana...imetajwa mara moja tu kwenye vitabu vya dini (biblia na quran)..[emoji56]

Ushauri:
Futa hiyo namba kisha osha mikono kwa sabuni na maji tiririka halafu endelea na mishe kama kawa


Sent using Beretta ARX 160
 
Hapo vip!!

Nina imani kuna wataalam mbali humu wanaweza kunisaidia hili.
Leo baada ya kuamka asubuhi,katika kuangaza macho huku na kule pale ndani kwangu,niokaona imeandikwa namba 8 chini kwa rangi nyeupe kama ya chaki.
Na nina imani hakuna mtu aliyeandika kwasababu week mbili nimekuwa nalala mwenyewe,nikitoka kazini napitia kwenye biashara zangu then nikifika najiangusha tu.

Hii ishara inanichanganya sana,ninaimani kuna watu humu wanaweza kuniambia jambo pasipo kuleta kejeli.

Karibuni kwa maoni na ushauri

Mkuu mimi niliwahi kukuta mayai mawili mlangoni kwangu miaka kadhaa iliyopita nilichofanya niliyakagua kama mazima Kisha nikayapika nikayala na ugali hadi Leo nipo nadunda tu,uchawi ni akili yako mwenyewe


Sent using IPhone X
 
Back
Top Bottom