Hiki ni kitu cha ajabu sana nimekiona kwa macho yangu

Hiki ni kitu cha ajabu sana nimekiona kwa macho yangu

Wamekugeuza mlango wa nane.... yaani vitu vitakuwa vinaingia na kutoka .... hutakaa uwe na kitu cha kudumu.

Kwa akili yako utaenda kwa Sangoma! Nooo nenda kwa YESU
Yesu yupi wakukanyaga mafuta ya upako? huko ndiyo mtamtapeli kabisa ninyi wachungaji wasanii.
 
Tafuta chumvi ya mawe mwanga kwenye kila pembe ya chumba alafu malizia na kwenye hayo maadishi ya namba 8 ..... Baada ya siku mbili deki chumba kizima pamoja na hayo maadishi, ukimaliza kudeki mwaga tena chumvi,
Alafu uje unishukuru [emoji124][emoji124]
Asante kwa ushauri mkuu
 
Haya mambo yakinguvu za giza me nachukia sana ni usedee life ni yakawaida mtu sio bilionea unaparangana kivyako lakin mafalax wanaona cjui unafaid sana wakat hamna kitu me nikikukuta risasi inakuhusu no matter ni pepo au mtu
 
Niliwahi kuta mavi mlangoni kwa ofisi yangu, nikayamwagia chumvi nikamtafuta mtu akayazoa na kupasafisha, siku ingine nilikuta viunga vyeusi vimemwagwa ovyo ofisini kwangu, nikasafisha mwenyewe na kudeki maisha yakasonga, sijui kwa nini huwa naamini siwezi logwa na Shetani yoyote japo naamini nguvu za giza zipo na zinatenda kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah...Namba nane kama ukiichukulia kwa uzito wake ...kwanza namba 8 ni kidesimali kisha inagawika 2 kisha kwa 4...tafsiri yake Namba nane kwa kidigitali ni 1000 na hapa ndipo kwenye shida ya kutafsiri...
1000 ni namba adimu sana...imetajwa mara moja tu kwenye vitabu vya dini (biblia na quran)..[emoji56]

Ushauri:
Futa hiyo namba kisha osha mikono kwa sabuni na maji tiririka halafu endelea na mishe kama kawa


Sent using Beretta ARX 160




Hahhahahaaha alwys comment zako ni za kimisukule tu🤣🤣
 
Niliwahi kuta mavi mlangoni kwa ofisi yangu, nikayamwagia chumvi nikamtafuta mtu akayazoa na kupasafisha, siku ingine nilikuta viunga vyeusi vimemwagwa ovyo ofisini kwangu, nikasafisha mwenyewe na kudeki maisha yakasonga, sijui kwa nini huwa naamini siwezi logwa na Shetani yoyote japo naamini nguvu za giza zipo na zinatenda kazi

Sent using Jamii Forums mobile app

GIRITA njoo hapa....uone ushuhuda!,
Mie pia naamini ushirikina upo ila naamni hakuna mloz anayeweza kuniloga jamani...! Hii nagombana kbs na watu nawakeraa.!
 
Humu kuna wasengerema sana,mtu katoa kisa alichokutana nacho anaomba ushauri wengine wanaleta mzaha. Kuna wakati JF inakuwa haina maana sana kutokana na watu kama hao. Pole ndugu naamini kuna wenye weredi na hili watasaidia. Ila utoe taarifa mapema pia kwenye mamlaka za Serikali zinazokuzunguka
 
Naomba niweke wazi, niliamua kuandika hivi kama kumchalenji mleta mada.

Mimi naamini uwepo wa uchawi ila hilo tukio la namba 8 kujiandika, nachukulia ima ni mtu aliamua kuandika, au ni kiatu chake mwenyewe, au ni mdudu kama mende aliingia kwenye unga kisha akatembea kwa kuzunguka zunguka na kutokea kitu (njia alimopita) kama hiyo 8.

Nilitaka kuonesha njia mojawapo waganga wa kienyeji wanatumia kutusoma akili zetu, wakatujaza khofu kwa mambo yasokuwepo kisha wakatupiga pesa ndefu.

Mleta mada nilimjengea khofu kubwa, nikamvutia PM (mara nyingi matapeli hupenda kufanya mambo yao faragha), akaja ila tumediscuss na kushauriana mambo tofauti na alivyokuwa akidhania.

Kwa mfano hata kama ingekuwa kweli kifo cha mtu kimekaribia, hakuna yeyote (awe mchungaji, shekhe au mganga wa kienyeji) ambaye anaweza kukichelewesha au kukiwahisha mda wake.
Mbona bado umeleta mzaha? Kweli kiatu chake kinaweza kuchora nane kwa chaki hata kama aliikanyaga hiyo chaki?
 
Siku moja nikiamka nikakuta michoro ya Quran dirisha LA chumbani kwangu,mlango Wa choo cha nje,chini kwenye paving na kwenye matairi ya gari.
Wala sikuangaika, sikufuta sikufanya lolote, mpaka Leo maisha yanaendelea,
Na hilo lilitokea ndani y Fence

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Humu kuna wasengerema sana,mtu katoa kisa alichokutana nacho anaomba ushauri wengine wanaleta mzaha. Kuna wakati JF inakuwa haina maana sana kutokana na watu kama hao. Pole ndugu naamini kuna wenye weredi na hili watasaidia. Ila utoe taarifa mapema pia kwenye mamlaka za Serikali zinazokuzunguka


🤣🤣🤣ningekuwa mwenyekiti wa mtaa ningekutoa baru balaa .khaaa🤣🤣🤣
 
Siku moja nikiamka nikakuta michoro ya Quran dirisha LA chumbani kwangu,mlango Wa choo cha nje,chini kwenye paving na kwenye matairi ya gari.
Wala sikuangaika, sikufuta sikufanya lolote, mpaka Leo maisha yanaendelea,
Na hilo lilitokea ndani y Fence

Sent using Jamii Forums mobile app


Kuna nyumba tulihamia miaka ya nyuma kidg bas kila siku dada akifagia nje anaokota 50!...tuliokota zike hamsini zaidi ya miez mitatu..mie nikawa naenda nunua pipi najilia.hapo mwenzangu kipara kinasweat balaa...!
 
Humu kuna wasengerema sana........Pole ndugu naamini kuna wenye weredi na hili watasaidia. Ila utoe taarifa mapema pia kwenye mamlaka za Serikali zinazokuzunguka
Dah...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Sent using Beretta ARX 160
 
Kanunue Boks zima la Chaki, Black Board na kifutio kbsaa kumsaidia asipate tabu,
Na Kila akiandika Unampa Vema [emoji818]...
 
Back
Top Bottom