Hiki ni kitu gani wajameni?wanawake Mungu naomba uwachome kasoro mama yangu!

Hiki ni kitu gani wajameni?wanawake Mungu naomba uwachome kasoro mama yangu!

Mkuu kwishaaaa. Hesabu tu maumivu. Iyo ni dawa ya kutibu Gono. Tayari una kisono. Utaniambia tu ukianza kukojoa mkojo kama mlenda unanata nata haufiki chini unarudi juu.

Na kama ulikuwa unazama chumvini mdomo wako (lips) utakuwa mweeekunduuuuu ama pinki umebabukababuka na kinywa chako kitakuwa kinatema balaa kama chamber hata ukipiga mskwaki vipi.
 
Back
Top Bottom