NAGAMAHONGA JF-Expert Member Joined Dec 11, 2012 Posts 11,131 Reaction score 9,301 Feb 21, 2025 #221 Vishu Mtata said: Kuna shule ya ipo karibu yangu hapa madogo wanakula sana mboko, sasa imagine dogo kala mboko skuli, kafika home msosi hakuna, anawahi madrasa huko nako anakutana na bakora 5 za moto. Huyu akija kua kibaka kukutia bisu hataona kazi dadeki. Click to expand... Ni kweli maana amepikwa kikatili akapikika haswaa.
Vishu Mtata said: Kuna shule ya ipo karibu yangu hapa madogo wanakula sana mboko, sasa imagine dogo kala mboko skuli, kafika home msosi hakuna, anawahi madrasa huko nako anakutana na bakora 5 za moto. Huyu akija kua kibaka kukutia bisu hataona kazi dadeki. Click to expand... Ni kweli maana amepikwa kikatili akapikika haswaa.