Mkuu usishuhudie uongo, hao unaowaita wazungu hayo malezi yao sio kua wameanza 2000's, ni muda mrefu wako hivyo.
Na bado wametupiga gape, gunduzi zinatoka kwao, tunapata misaada toks kwao pamoja na hayo unayoita malezi mabovu.
Wao wameshajua kua kupiga na kufoka hovyo sio lazima kwa mtoto.
Sasa hayo malezi ya vipigo si yapo toka tunapata uhuru, yametufikisha wapi??.
Kama kawaida yetu Afrika kutumia nguvu bila akili, ndo hapo tumepigwa gape.
Kwaiyo unataka kutulinganisha Waafrika na Wazungu kwenye suala la Maadili??
Malezi yao ndio yamewafikisha hapo walipo na kwa Macho ya Sisi tulio na akili timamu tunawaona Wapo nyuma katika suala la maadili na Malezi.
Mtoto wa Kizungu wa Miaka miaka 9-15 kumtambulisha Boyfriend wake au girlfriend wake Kwa wazazi wake ni jambo la kawaida kwao ila sio kawaida kwetu.
Familia kwenda beach na Vichupi Wote Baba,, mama,, watoto wote vichupi kwa wazungu sio Shida ila Sisi kwetu hilo jambo sio normal.
Na Kupitia hayo na mengineyo mengi mimi napata ujasiri kusema kuwa Maadili yetu wa Afrika yameyatangulia yale ya wazungu.
Huwezi kuwa na akili timamu alafu ukasifu kuwa vile wanavyoishi wazungu ni NAMNA BORA YA MALEZI NA MAADILI LABDA KAMA TAYARI UMESHAKUWA MZUNGU NA WEWE.
Labda ujue kuwa Wazungu nao sio kwamba Wanaridhika na makuzi ya Watoto wao ila NOW WAZAZI WANAWAOGOPA WATOTO KUTOKANA NA SHERIA ZISIZO NA KIWANGO WALA MIPAKA.
NA NDIO MAANA UINGEREZA IDADI YA VITUO VYA KUBADILI TABIA VINAONGEZEKA PIA MATUKIO YA AJABU AJABU WANAYOFANYA WATOTO KAMA VILE KUTUMIA SILAHA KUSHAMBULIA WENZAO,, KUWADHALAU WALIMU YANAONGEZEKA SIMPLY BECAUSE WATOTO HAWANA ADABU TENA.
MTOTO NI MTOTO TUU ANA UTOTO,,, AKILI YAKE SIO KAMA YA MTU MZIMA KUNA SEHEMU YA KUZUNGUMZA NAE ALAFU KUNA SEHEMU YA KUMUADHIBU KWA ADHABU ITAKAYOACHA ALAMA YA MAUMIVU.
SASA UKISEMA ETI UUMPE MACHAGUO MTOTO JUA TUU ATAISHIA KUBAYA SABABU HATA SISI TULIKUWA NA VIJITABIA KAMA SIO WAZAZI WETU KUTUMIA NJIA WALIZOTUMIA,,, LEO HII TUSINGEKUWA TUNASIMAMA MBELE ZA WATU NA TUKASIKILIZWA.