Hiki ni kiwango kilichopitiliza cha Ukatili kwa watoto

Hiki ni kiwango kilichopitiliza cha Ukatili kwa watoto

Mtoto unampa MACHAGUO? Jesu!
Yaani mkuu kuwaelewa hawa watu ni kazi.

Eti mtoto ana machaguo!!!! Waafrika mbona kila kitu sisi Tupo gizani. Tena na Elimu zetu uchwara hizi lakini Bado mambo madogo madogo kama haya tunashindwa kuyadadavua hadi tutumie akili za mabeberu!!!!
 
Kuna shule ya ipo karibu yangu hapa madogo wanakula sana mboko, sasa imagine dogo kala mboko skuli, kafika home msosi hakuna, anawahi madrasa huko nako anakutana na bakora 5 za moto.

Huyu akija kua kibaka kukutia bisu hataona kazi dadeki.
Kabisa. Hawa ndiyo wakiwa viongozi wanaamuru mtu ashushwe kwenye bus na kuuawa.
 
Yaani mkuu kuwaelewa hawa watu ni kazi.

Eti mtoto ana machaguo!!!! Waafrika mbona kila kitu sisi Tupo gizani. Tena na Elimu zetu uchwara hizi lakini Bado mambo madogo madogo kama haya tunashindwa kuyadadavua hadi tutumie akili za mabeberu!!!!
Peleka unyama wako huko huko kwa familia yako. Wengine tumebahatika kukulia kwenye familia za kistaabu.
 
Ni saikolojia unapotaka kumfanya mtu awe katili lakini mwenye nidhamu kwa bosi wake .
Hao watoto hua ni wakatili sana kwa watoto wenzao hasa wasio wa dini yao lakini wanawaogopa sana walimu wao na kuona kuwa kila wakachofundishwa ni sawa na halina makosa wala haliwezi kuhojiwa .

Saikolojia kama hiyo waliitumia wakoloni kuwafanya majahanti wa kiafrika kuwa waoga sana . Hali hiyo iliwafanya wawe dhaifu mbele ya wazungu lakini katili sana mbele ya waafrika wenzaonzao . Yaani Ndio maana walikua wanawabeba wazungu na kuwavusha salama kwenye Mto mkubwa wenye Mamba badala ya kuwatupa mtoni wakaliwe na mamba .

Na pia ipo gerezani kuna mtu anaitwa mnyapara . Ni mtu anayenufaika na maisha ya kikatili kwa wenzake na amelelewa kikatili na analipa ukatili huo kwa wenzake .

Watoto kama hao hawana huruma . Hatukatai watoto kudahibiwa lakini je, nani anaweza kujua kiwango cha adhabu kulingana na umri wa mtoto ,afya yake ,kosa lake na aina na ubora wa fimbo maana kuna mitiingine ina sumu inayowasha sana ngozi ya mtu.
.
Yote kwa yote wakoloni walitumia mbinu ya kikatili sana kueneza ukoloni ikiwemo baadhi ya dini .

Wamasai wanawafundisha vijana mila zao na ujasiri mkubwa huku wakiwa na nidhamu na heshima kubwa sana kwenye jamii yao kuliko mila zote duniani lakini wazungu na waarabu walitumia mbinu na uongo mwingi kuziita mila zote nzuri za waafrika kuwa ni ukafiri na upagani.
Matokeo yake tumetengeneza makafiri wakubwa zaidi
 
Ili washinde 30,000,000/= pale kwa Nkapa wakishinda sifa zote kwa Hostadh alowafundisha kwa kuwatia mikwaju hio ni moja tu imeenda viral ila ndio kinachoendelea huko Mudrasa
😁😁😁
 
Kwanini usitoe hoja yako bila kashfa.Hakuna sehemu viongozi wa dini hawana kashfa.

Kanisa katoliki linakashfa ngapi za kulawiti watoto.Hizi dini zisiwafanye mkawa mnashindwa kufikiri vyema.

Hata kama unawachukia watu flani ebu jaribu kuficha hisia zako
.
Rudia kusoma nilichokiandika tena.
Bila shaka uliishia kujifunza tamaduni za Waarabu ama Wazungu.
 
Unavyosema hakuna njia nyengine unafurahisha sana😄😄😄😄

1.Je hao waalimu mmewaanda kuwa walimu???
2.Tunapenda miujiza bila kuandaa process ya kuifikia!!!

Ndomaana ninasema kwa mazingira yetu watoto wachapwe tu,,,,hakuna namna wachapwe!!!! Elimu ya kubembelezana wanaweza wazungu tu ila sisi weusi hatuwezi kwakua hatujajiandaa kufanya hayo.
Jiandae kutembelewa na Sheria ya mtoto na 21 ya Mwaka 2009 na marekebisho yake, labda tusisikie nakwambia
 
Madam, ningeshauri suala hili waelekezwe Bakwata wadili nalo kwa sababu vinginevyo jamii inaweza kutafsiri kwamba serikali inaingilia masuala ya Imani. Kwa sababu kutoa adhabu kwa watoto walio fanya makosa mbalimbali ya kinidhamu ni sehemu ya mafundisho ya dini.

Ni hayo tu🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Sikiliza niwaelimishe, hakuna mtoa huduma yoyote kwa umma ambaye hajasajiliwa na Sheria yoyote. Nyumba zote za Imani yoyote ile zimesajiliwa mambo ya ndani kule. Kuna Sheria na kanuni zake. Ukikosea unatembelewa na sheria, full stop
 
Aina ya adhabu Vs umri wa watoto bila kujali kosa lao.

Hao ukiwalamba mbilimbili tu za fasta fasta na onyo kali kesho anawahi, sio bakora 5 mpaka dogo anapiga kelele ka anauawa vile.

Kipindi hiki cha utandawazi fimbo sio suluhu kama zamani, unaweza kuchapa kama hivyo ukatengenezewa zengwe ukatupwa lupango, nenda na wakati kijana, haukusubiri.
Hawa wanaobisha ndugu yangu waulize hata kama wanajua hata tafiti moja tu ya madhara ya malezi ya kupiga watoto kwenye zama sasa, majibu hawana. Hizi Sheria zisingekuwepo nadhani tungekuwa sasa tunazika watoto kila siku kisa vipigo. Hivi sasa ninaye mmoja huko Tanga kaumizwa Yuko hospitali, kisa katoa ushahidi wa kweli mahakamani baada ya kufanyiwa ukatili.
 
Sikiliza niwaelimishe, hakuna mtoa huduma yoyote kwa umma ambaye hajasajiliwa na Sheria yoyote. Nyumba zote za Imani yoyote ile zimesajiliwa mambo ya ndani kule. Kuna Sheria na kanuni zake. Ukikosea unatembelewa na sheria, full stop
Asante sana kwa ufafanuzi Mheshimiwa.

🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
 
Yaani dogo wa miaka 10- 11 huwezi kumcontrol, aloo basi acheni kuzaa.

Sasa unazaa vipi wakati kulea huwezi, huwezi kumfanya mwanao akuamini.

Mwalimu wa kwanza wa mtoto ni wewe mzazi. Mzazi ndio wewe unaona mwanao kulambwa mboko 5/6 za moto ni sawa kisa wewe na mwalimu wako mmeshindwa kummudu mtoto wa miaka 11.😂😂
Akifika 20 si mtamuamkia shikamoo.

Bila shaka ungekuwepo hapo, ungekamata mikono yao ticha awanyuke kisawasawa ili kesho wasichelewe tena ilhali ungeweza kuweka alarm na kumkumbusha kesho awahi, ama lah kumwambia rafiki yake anaewahi kesho ampitie na mwanao, ama kumpa ashabu ya kumjenga.

Achana na kutumia hizo baby boomers sijui Gen Z nani aliwadanganya zinawahusu ninyi watz.
Yaani, eti mtu anazaa ila kulea, anayo sera ya kupiga. Watoto wengine wagonjwa wa akili, kadri unavyompiga anaugua zaidi.... Ndiyo maana baadhi ya Wazee kumbe bond na watoto hakuna, kumbe vita ya hisia ilianza zamani
 
Mbona mimi nimewahi, kupigwa viboko 30 nikiwa form three na bila kosa la maana kabisa, wanao one ukatili ni wale Walio lelewa kama yai Ambao wanahitaji uangalizi wa wazazi mpaka wafikapo miaka 30 hivi.
Hyo ni Hali ya kawaida ila kwa wale born town, shule magari ya njano hawawezi jua na hao ndio kizazi dhaifu kabisa
 
Back
Top Bottom