Mtoto wangu anaadabu zile nazohitaji mimi.Wewe wako anaadabu katika mizani yako tusipangiane maisha.Aisee 😒, yani mtoto wa miaka mitatu anaweza kupitiliza nini hasa mpaka umlambe mboko?
Mtoto wa miaka hiyo hyio mitatu huko China anafundishwa mambo kedekede ukija huku mavumbini mtoto anakazi ya kuimbishwa nyimbo siku nzima😀😀😀
Kwahiyo ndugu mtanzania maisha ni kupanga nyie endeleeni na akina junia wenu wenye kazi ya kupanda kwenye mapaja ya wageni na kulilia soda za wageni .Sisi ngoja tuendelee na akina Shija wetu wenye adabu na utii kama tuliokulia wazazi wao.