Hiki ni kiwango kilichopitiliza cha Ukatili kwa watoto

Hiki ni kiwango kilichopitiliza cha Ukatili kwa watoto

Mtoto wangu anaadabu zile nazohitaji mimi.Wewe wako anaadabu katika mizani yako tusipangiane maisha.

Mtoto wa miaka hiyo hyio mitatu huko China anafundishwa mambo kedekede ukija huku mavumbini mtoto anakazi ya kuimbishwa nyimbo siku nzima😀😀😀

Kwahiyo ndugu mtanzania maisha ni kupanga nyie endeleeni na akina junia wenu wenye kazi ya kupanda kwenye mapaja ya wageni na kulilia soda za wageni .Sisi ngoja tuendelee na akina Shija wetu wenye adabu na utii kama tuliokulia wazazi wao.
Mkuu wasipo kuelewa na hapa basi tena.
 
Huyo maalim amenyimwa mzigo... maana kuwatafuna watoto wadogo ni suna
 
Mwanafunzi anayedoji masomo unampa adhabu inayomfanya akose masomo zaidi?

Injury mkuu kuna injury hapo? Hapo kuna pain tu sio injury. Na pain evokes memories kuliko kubeba vidumu vya lita tano
Atavibeba baada ya masomo. Na utamwambia na Mzazi wake kuwa nitampa adhabu hii na sidhani kama ni mbaya.

Hii ya physical pain ni Physical Abuse.....Inflicting pain on body using your power ni Ukatiri sio njia ya kumuonya mtoto.

Watoto wengine kama ni wakorofi unaachana nao. Dunia itawanyosha huko mbeleni.
 
Kizazi hiki cha wazazi wa kileo bomu tunalopika likija kulipuka hakuna atakayesalimika.

Leo hii mitoto ambayo wazazi wao waliwalea hovyohovyo inavuta bangi, inakaba,inajiuza, inashinda vijiwenu.Jamii haijishughulishi kwa kuwa siku hizi mtoto ni wa mtu sio wa jamii.watu wanasubiri mtoto wako ajae kwenye mfumo wamuwahishe mavumbini.

Hali ni tete vijana wanavuta mibangi, mapusha wanauza bangi waziwazi jamii imebaki ikiangali kwa kuwa jamii imeng'olewa meno.Kesho na keshokutwa takwimu zikitola kila mtanzania anajifanya kushtuka na kustaajabu😄😄😄

Tuendelee kulea ujinga tutastaajabu sanaaaa.
Mbona mambo yapo wazi sana mkuu huku mitaani tena Wenyewe wanawaita 'Watoto wasiku hizi' hawajui hao watoto wa siku hizi wametokana na nini.

Ni kwamba wametokana na Wazazi wa Siku hizi..

kuiga kila kitu kutoka kwa wazungu.

Eti muache junior muache apasue TV ,,avunje Kioo tumuache tuu kisa yeye ni Junio ndio wao watoto wakija Wageni Wanawatia Aibu.

Mtoto huwezi tena kumwambia acha Akaacha lazima uanze kumbembeleza Junior acha ee acha mwanangu acha baba Toto linakazania Sitakiiii mbele ya Wageni unabaki na Aibu zako.

Waache waendelee kufuga watoto Ngoja Sisi Tulee.
 
Kusema ukweli utandawazi umeharibu maadili hivi hapo kina kipi cha ajabu? Kipindi tunasoma sisi mwalimu wetu alikuwa anakuvua kaptura unabaki na chupi ndo anakushushia mvua ya fimbo lakn hakuna kulalamika.
Lakin sasa hiv mnataka mtoto akikosea apetiwe petiwe acheni mambi yenu bwana nyie ndiyo mnasababisha maadili yanaporomoka
Ujinga tuu kumchapa mtoto kwa kumlazimisha kukariri upuuzi
 
Kusema ukweli utandawazi umeharibu maadili hivi hapo kina kipi cha ajabu? Kipindi tunasoma sisi mwalimu wetu alikuwa anakuvua kaptura unabaki na chupi ndo anakushushia mvua ya fimbo lakn hakuna kulalamika.
Lakin sasa hiv mnataka mtoto akikosea apetiwe petiwe acheni mambi yenu bwana nyie ndiyo mnasababisha maadili yanaporomoka
Alaaawakubaruuuuuuuuuu.......
 
Atavibeba baada ya masomo. Na utamwambia na Mzazi wake kuwa nitampa adhabu hii na sidhani kama ni mbaya.

Hii ya physical pain ni Physical Abuse.....Inflicting pain on body using your power ni Ukatiri sio njia ya kumuonya mtoto.

Watoto wengine kama ni wakorofi unaachana nao. Dunia itawanyosha huko mbeleni.
Double standard hii.
Ukiwa na kondoo 100 akipotea mmoja unawaacha 99 unamtafutia yule mmoja.
Hapa unatuambia watoto wengine kama ni wakorofi unaachana nao dunia itawanyoosha huko mbeleni.
 
Mbona mambo yapo wazi sana mkuu huku mitaani tena Wenyewe wanawaita 'Watoto wasiku hizi' hawajui hao watoto wa siku hizi wametokana na nini.

Ni kwamba wametokana na Wazazi wa Siku hizi..

kuiga kila kitu kutoka kwa wazungu.

Eti muache junior muache apasue TV ,,avunje Kioo tumuache tuu kisa yeye ni Junio ndio wao watoto wakija Wageni Wanawatia Aibu.

Mtoto huwezi tena kumwambia acha Akaacha lazima uanze kumbembeleza Junior acha ee acha mwanangu acha baba Toto linakazania Sitakiiii mbele ya Wageni unabaki na Aibu zako.

Waache waendelee kufuga watoto Ngoja Sisi Tulee.
Nafahamu mkuu shida hii magnetude haijagusa kisawasawa watoto wa big FISHES.

Ukianza kusikia makelele kuhusu malezi kwa wingi hapo kaa utambue kuna wanene matoto yao yameharibikiwa huko.
 
Hii ya physical pain ni Physical Abuse.....Inflicting pain on body using your power ni Ukatiri sio njia ya kumuonya mtoto.

Watoto wengine kama ni wakorofi unaachana nao. Dunia itawanyosha huko mbeleni.

Kwahiyo mtoto akushinde aje kuuwawa na walimwengu?

Aje kukutesa hospitali na polisi?

Aje kuwa mzigo wako mbeleni?

Aje kusumbua watu?

Yani jukumu lako unalidefer kwa Dunia huko mbeleni?
 
Hao watoto wakitoka hapo wanajiunga na Hamas moja kwa moja maana wanakuwa wamekomaa kwa mboko na hawataogopa mabom ya ukanda wa Gaza na magharibi ya mto Jordan
📌Huna akili,unakoment kama umebeba helmet juu ya shingo.
 
Kwahiyo mtoto akushinde aje kuuwawa na walimwengu?

Aje kukutesa hospitali na polisi?

Aje kuwa mzigo wako mbeleni?

Aje kusumbua watu?

Yani jukumu lako unalidefer kwa Dunia huko mbeleni?
Hawa wazungu pori wasitubabaishe na elimu zao uchwara with poor thinking capacity!!!
 
Kwahiyo mtoto akushinde aje kuuwawa na walimwengu?

Aje kukutesa hospitali na polisi?

Aje kuwa mzigo wako mbeleni?

Aje kusumbua watu?

Yani jukumu lako unalidefer kwa Dunia huko mbeleni?
Mtoto kushindikana ni matokeo ya machaguo yake mwenyewe.
 
Kusema ukweli utandawazi umeharibu maadili hivi hapo kina kipi cha ajabu? Kipindi tunasoma sisi mwalimu wetu alikuwa anakuvua kaptura unabaki na chupi ndo anakushushia mvua ya fimbo lakn hakuna kulalamika.
Lakin sasa hiv mnataka mtoto akikosea apetiwe petiwe acheni mambi yenu bwana nyie ndiyo mnasababisha maadili yanaporomoka
Ndiyo maana umekuwa na roho katili namna hii. Unaona siyo ajabu mtoto kupigwa. Umeathirika mpaka ubongo wako.
 
Back
Top Bottom