Tetea hoja kwa hoja humu kuna watu na heshima zao wanapitia comment.Jiheshimu punguza mihemko jenga hoja dini zote tumeletewa.Afu huyo anayemchapa kavaa kobazi.
Mavaa kobazi yana matatizo sana.
Hakuna dini bora kuliko nyingine.Ukienda India kuna baadhi ya majimbo itakulazimu uwaheshimu waabudu Ng'ombe na hairuhusiwi kula nyama ya ng'ombe.Tembea ujifunze!!!
📌📌Jaribu kutumia akili kabla ya kutenda.