Hiki ni kiwango kilichopitiliza cha Ukatili kwa watoto

Hiki ni kiwango kilichopitiliza cha Ukatili kwa watoto

Ishu sio kutochapwa au kutopewa adhabu, hata huko ulaya unakosema tunaiga hata wao wanatoa adhabu japo sio viboko kama huku kwetu.

Sasa kwenye hizo adhabu angalia na hali ya mwanao sio kila mmoja anazimudu, hapo ukimchana kiganja mtoto utawaambia nini waja wakuelewe, hata kama ulikua unafanya jema kumnyoosha hamna ataekuelewa.

Uliona clip ya yule binti aliekua anamkung'uta mwanae?? Nae alirekodiwa akatiwa lupango, uliona clip ya walimu wa shule ya Mbeya wakimpa kipigo yule dogo mtukutu, nao walipoteza kazi zao.

Sasa kama hujifunzi kwayo, ulimwengu utakupa somo na kukuelekeza ni adhabu gani unapaswa kumpa mwanao na zipi unapaswa kupewa wewe na sio mwanao.
Hiyo ni COLATERAL DAMAGE adhabu inatolewa kuinflict pain ili next time akili yako kabla ya kutenda ifikirie uvhungu wa adhabu uliyopata kabla.


Sasa unapotaka adhabu iwe tamu hapo ndo mnakosea.Nchi kama south Africa hawana adhabu ya kifo kwa mtu aliyeua.Hiyo ni moja ya sababu South mpaka kesho kesi za mauaji zitaendelea kuwa juu juu juuu balaaaa.

Leo hii Tanzania tukibadili sheria ya makosa ya jinai na kufuta vifungo vya maisha au kunyongwa.Tegemea crime rate itapaa juuu juuu balaaaa.

📌📌Kwahiyo mnapotetea mambo jaribuni kushiriksha vizuri bongo zenu.
 
Ukatili ni kitendo anacho fanyiwa mtu bila lidhaa yake na kumletea sonona au mfadhaiko

Adhabu zinategemeana na umri wa mtoto uyo mtoto na fimbo anayo mpigia unaona nisawa?

Kuna namna ya kumuadhibu mtoto pindi anapokesea mkuu na sio ivyo anavyo fanya uyo mwalimu
Utatumia tasfiri hiyo hiyo kwa Adhabu wanazopewa wanafunzi mashuleni???

Adhabu ya Bakora tano ni njee ya kiwango?? Unajua muongozo wa Serikali juu ya Adhabu ya Viboko mashuleni??

Bado unajilazimisha kuamini kuwa hiyo Fimbo iliyotumika ni Kubwa wakati watoto wenu huko mashuleni wanapigwa na Kuni za Kuchochea Moto na Wala hakuna shida bali ndio namna watoto wa kiafrika wanavyonyooka.

Embu labda Mtoe muongozo Huyo mwalimu ilibidi awachape Viboko vingapi na Fimbo iwe ya ukubwa gani na Nguvu pia iweje. Alafu uniambie hilo lengo la kuadabisha kama linafikiwa!!!
 
Wewe baby boomer acha kujifanya Gen Z huyo mtoto wa miaka 9 mpaka 11 kumuelewesha kwa maneno ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa.

Mkiwa mnaiga maisha igeni vile vyenye manufaa.Sio kila jambo linalowezekana ULAYA na huku mavumbini lawezekana.

Wenzetu wameandaa mifumo waalimu wamesoma ualimu tena kuna nchi nyingine waalimu wa awali(chekechea) wanamasters sasa huwezi kumfananisha huyo mbobevu na mwalimu ambaye kwanza ameenda kusomea ualimu kama last option.

Pili hana intrest wala hajui makuzi ya watoto yanataka nini na approach zake.Kiuhalisia mnachokitetea kitawezekana kama mtawekeza kwa hao walimu.
Yaani dogo wa miaka 10- 11 huwezi kumcontrol, aloo basi acheni kuzaa.

Sasa unazaa vipi wakati kulea huwezi, huwezi kumfanya mwanao akuamini.

Mwalimu wa kwanza wa mtoto ni wewe mzazi. Mzazi ndio wewe unaona mwanao kulambwa mboko 5/6 za moto ni sawa kisa wewe na mwalimu wako mmeshindwa kummudu mtoto wa miaka 11.😂😂
Akifika 20 si mtamuamkia shikamoo.

Bila shaka ungekuwepo hapo, ungekamata mikono yao ticha awanyuke kisawasawa ili kesho wasichelewe tena ilhali ungeweza kuweka alarm na kumkumbusha kesho awahi, ama lah kumwambia rafiki yake anaewahi kesho ampitie na mwanao, ama kumpa ashabu ya kumjenga.

Achana na kutumia hizo baby boomers sijui Gen Z nani aliwadanganya zinawahusu ninyi watz.
 
Aina ya adhabu Vs umri wa watoto bila kujali kosa lao.

Hao ukiwalamba mbilimbili tu za fasta fasta na onyo kali kesho anawahi, sio bakora 5 mpaka dogo anapiga kelele ka anauawa vile.

Kipindi hiki cha utandawazi fimbo sio suluhu kama zamani, unaweza kuchapa kama hivyo ukatengenezewa zengwe ukatupwa lupango, nenda na wakati kijana, haukusubiri.
Bado hujajua maana ya adhabu.Wasomi na magreat thinker mmekuwaje siku izi😄😄😄😄 nadhani huu ugali wa mbegu za GMO UNAPUNGUZA UWEZO WA KUFIKIRI!!!


📌📌📌Adhabu haikuwekwa kumfurahisha anayepewa sawa!!!
 
Bakora kwenye madrasa ni kitu ch kawaida sana.Hakuna ukatili wowote hapo acheni kuyakuza mambo Gwajima usiingizwe mkenge
 
Bila kujali kosa la hao watoto hiyo adhabu ni kubwa kwao.

Nawashangaa sana ninyi mnaofananisha dunia ya sasa na hiyo ya miaka ya tisini.

Mfano kosa la uchelewaji, hilo kosa kwa miaka yetu ya giza utakumbushwa kwa viboko, ila siku hizi kuna means nyingi unaweza kuelekezwa zikakufanya ukawahi kuamka/kuwahi jambo fulani.

Hao madogo wamechelewa, mtoto kama huyo kuchelewa madrasa mara nyingi huwa sio kosa lake, kuna mwingine hapo kabeba kapu kabisa ikiwa na maana aidha akitoka hapo au alikotoka huko kahemea ndio kaenda madrasa.

Hivi kweli unashindwa kuicontrol akili ya mtoto hadi umpige, mbona akili yake unaisoma chap tu na kupredict his/her next move.
Embu labda Mtoe muongozo katika kosa hilo,,, Huyo mwalimu ilibidi awachape Viboko vingapi?? na Fimbo iwe ya ukubwa gani?? na Nguvu pia iweje??. Alafu uniambie hilo lengo la kuadabisha kama linafikiwa!!!
 
Nilidhani ni MRUMI pekee ndiye anafundisha watoa kiingilio cha kanisani wapya (watoa sadaka) kwa kutumia viboko kumbe hata Wafuasi wa Mud nao wanatumia kiboko!
Walivyo wahuni wana walawiti pia.
Hizi imani ni utapeli,tuweni makini.
Sidhani kama dini inataka hivi.

Oneni wenyewe. Aione Dkt. Gwajima D

[/QUOTE
 
Utatumia tasfiri hiyo hiyo kwa Adhabu wanazopewa wanafunzi mashuleni???

Adhabu ya Bakora tano ni njee ya kiwango?? Unajua muongozo wa Serikali juu ya Adhabu ya Viboko mashuleni??

Bado unajilazimisha kuamini kuwa hiyo Fimbo iliyotumika ni Kubwa wakati watoto wenu huko mashuleni wanapigwa na Kuni za Kuchochea Moto na Wala hakuna shida bali ndio namna watoto wa kiafrika wanavyonyooka.

Embu labda Mtoe muongozo Huyo mwalimu ilibidi awachape Viboko vingapi na Fimbo iwe ya ukubwa gani na Nguvu pia iweje. Alafu uniambie hilo lengo la kuadabisha kama linafikiwa!!!
Hapa aiongelewi dini mkuu maana naona unatetea dini hapa tunaongelea ukatili kwa ujumla ndio maana ata sasaiv shuleni walimu wamekuwa na hofu fimbo au adhabu wanayo wapa wanafunzi ni tofauti na hiyo ambayo uyo mwalimu wa madrasa anafanya

Huwei ukampiga mtoto kama hivyo ata siku moja na unaona sawa kama unatetea dini yako sawa ila hapa tunakemea ukatili sio sawa kabisa kwa namna alivyo fanya uyo mwalimu

Kwako unaona sawa uwenda unafanya iyo tabia au ulifanyiwa ndio maana unaona nisawa kwa uyo mwalimu kufanya alicho fanya
 
Hiyo ni COLATERAL DAMAGE adhabu inatolewa kuinflict pain ili next time akili yako kabla ya kutenda ifikirie uvhungu wa adhabu uliyopata kabla.


Sasa unapotaka adhabu iwe tamu hapo ndo mnakosea.Nchi kama south Africa hawana adhabu ya kifo kwa mtu aliyeua.Hiyo ni moja ya sababu South mpaka kesho kesi za mauaji zitaendelea kuwa juu juu juuu balaaaa.

Leo hii Tanzania tukibadili sheria ya makosa ya jinai na kufuta vifungo vya maisha au kunyongwa.Tegemea crime rate itapaa juuu juuu balaaaa.

📌📌Kwahiyo mnapotetea mambo jaribuni kushiriksha vizuri bongo zenu.
Aisee ndgu, ninyi ndio huwa mnawakata/kuwaunguza mikono watoto wenu wakidokoa mboga 😂😂

Kuna habari hiyo ya mzazi kuunguza mkono wa mtoto kama adhabu bila kujali hilo kovu litakua pale kwa muda mrefu na si ajabu likamtesa kwa maumivu.

Kama nilivyokwambia awali unapima uzito wa adhabu na uwezo wa mtoto kuihimili.
Mwisho wa siku mtoto anakimbia au anajiua na hizo kesi recenlty zimekua nyingi kwasababu ya wazazi aina yako.
 
Yaani dogo wa miaka 10- 11 huwezi kumcontrol, aloo basi acheni kuzaa.

Sasa unazaa vipi wakati kulea huwezi, huwezi kumfanya mwanao akuamini.

Mwalimu wa kwanza wa mtoto ni wewe mzazi. Mzazi ndio wewe unaona mwanao kulambwa mboko 5/6 za moto ni sawa kisa wewe na mwalimu wako mmeshindwa kummudu mtoto wa miaka 11.😂😂
Akifika 20 si mtamuamkia shikamoo.

Bila shaka ungekuwepo hapo, ungekamata mikono yao ticha awanyuke kisawasawa ili kesho wasichelewe tena ilhali ungeweza kuweka alarm na kumkumbusha kesho awahi, ama lah kumwambia rafiki yake anaewahi kesho ampitie na mwanao, ama kumpa ashabu ya kumjenga.

Achana na kutumia hizo baby boomers sijui Gen Z nani aliwadanganya zinawahusu ninyi watz.
📌📌📌Hapa waje waalimu ndo wanaelewa nini malezi na changamoto za wanafunzi.Wewe unaongea vitu usivyokuwa na uelewa navyo.
 
Embu labda Mtoe muongozo katika kosa hilo,,, Huyo mwalimu ilibidi awachape Viboko vingapi?? na Fimbo iwe ya ukubwa gani?? na Nguvu pia iweje??. Alafu uniambie hilo lengo la kuadabisha kama linafikiwa!!!
Hihemko mihemko,,,,,ila ngoja tuone mwisho watafikia wapi???
 
Aisee ndgu, ninyi ndio huwa mnawakata/kuwaunguza mikono watoto wenu wakidokoa mboga 😂😂

Kuna habari hiyo ya mzazi kuunguza mkono wa mtoto kama adhabu bila kujali hilo kovu litakua pale kwa muda mrefu na si ajabu likamtesa kwa maumivu.

Kama nilivyokwambia awali unapima uzito wa adhabu na uwezo wa mtoto kuihimili.
Mwisho wa siku mtoto anakimbia au anajiua na hizo kesi recenlty zimekua nyingi kwasababu ya wazazi aina yako.
Haya wewe unayewapenda sana watoto wako.Mwaka 2040 plus mtakuja kufufua nyuzi humu haya nyie subirini ombeni uzima ili mje muone matunda ya PROPAGANDA ZENU!!!
 
Embu labda Mtoe muongozo katika kosa hilo,,, Huyo mwalimu ilibidi awachape Viboko vingapi?? na Fimbo iwe ya ukubwa gani?? na Nguvu pia iweje??. Alafu uniambie hilo lengo la kuadabisha kama linafikiwa!!!
Kama akili yake ya kuwafanya wawahi imefika mwisho basi bakora mbili ziliwatosha.
Na hiyo nguvu za kuoigia mwizi azipeleke mahala pengine na kama umeisikiliza hiyo clip hao mabwana wanasema hiyo cha mtoto huwa anamalizia hasira zake kwa watoto.
 
Kama akili yake ya kuwafanya wawahi imefika mwisho basi bakora mbili ziliwatosha.
Na hiyo nguvu za kuoigia mwizi azipeleke mahala pengine na kama umeisikiliza hiyo clip hao mabwana wanasema hiyo cha mtoto huwa anamalizia hasira zake kwa watoto.
kuna mtu naye ataleta hoja kuwa bakora mbili ni nyingi au chache.

Swali ni je,vigezo gani umetumia kufikia hitimisho kuwa bakora mbili ni sawa.
 
Haya wewe unayewapenda sana watoto wako.Mwaka 2040 plus mtakuja kufufua nyuzi humu haya nyie subirini ombeni uzima ili mje muone matunda ya PROPAGANDA ZENU!!!
Kipigo heavy ni matokeo ya kufeli kwa ushawishi wa mzazi kwa mtoto na ni njia ya mzazi kupata ahueni kihisia(kupunguza hasira).
 
Bado hujajua maana ya adhabu.Wasomi na magreat thinker mmekuwaje siku izi😄😄😄😄 nadhani huu ugali wa mbegu za GMO UNAPUNGUZA UWEZO WA KUFIKIRI!!!


📌📌📌Adhabu haikuwekwa kumfurahisha anayepewa sawa!!!
😂😂 mtoto wa miaka mitatu hata yeye anajua zuri na baya.
Anajua siruhusiwi kushika simu ya baba atanichapa/atafoka au hatanipa hiki.

Ila kwa baba dizaidi yako, mwanao wa miaka 3 akiangusha simu yako makusudi au bahati mbaya si ajabu utamlamba mboko kama za shekhe hapo, sio??
Hiyo ndio maana ya adhabu kwa mujibu wako??
 
Hapa aiongelewi dini mkuu maana naona unatetea dini hapa tunaongelea ukatili kwa ujumla ndio maana ata sasaiv shuleni walimu wamekuwa na hofu fimbo au adhabu wanayo wapa wanafunzi ni tofauti na hiyo ambayo uyo mwalimu wa madrasa anafanya

Huwei ukampiga mtoto kama hivyo ata siku moja na unaona sawa kama unatetea dini yako sawa ila hapa tunakemea ukatili sio sawa kabisa kwa namna alivyo fanya uyo mwalimu

Kwako unaona sawa uwenda unafanya iyo tabia au ulifanyiwa ndio maana unaona nisawa kwa uyo mwalimu kufanya alicho fanya
HAPANA Sitetei Dini Nazungumza Uhalisia wa maisha yetu waafrika na malezi yetu kwa ujumla.

Kwa namna ya malezi yetu (both walimu tulionao na Wanafunzi waliopo) adhabu kama hiyo sio Extreme punishment Sababu fimbo tano hadi sita tena za sehemu salama ya mkono sio Adhabu ya kikatili.

Adhabu za kikatili zinafahamika lakini kwa mtoto wa miaka 9 hadi 12 fimbo tano za mkononi kwa Fimbo ya kawaida SIO UKATILI. HII ndio hoja yangu.

Lazima tukubali kuwa adhabu lengo lake sio kumfurahisha Muadhibiwa bali ni kumkanya na Kumuadabisha na katika hatua hiyo lazima kuna maumivu ayapate yule aliyepatiwa adhabu. ili ibaki kumbukumbu katika Akili yake.

Ikiwa ni Extreme punishment hapo sawa. Ila kwa adhabu hiyo katika clip hiyo huwezi sema hiyo ni Extreme punishment.

Hapa wale ambao ni walimu watakuwa wananielewa vizuri.
 
Back
Top Bottom