Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Zamani mzee wetu alikua anatupiga sana, ila mwisho wa siku aliacha alipoona tunaelewa zaidi kwa maneno kuliko viboko na adhabu za kijeshi.Mwanangu humchapi hivyo na madrassa ndo basi tena,toka nizaliwe sijawahi piga kiumbe Cha kike Leo mwanangu unampigaje hivyo.
Viboko vinakupa usugu, itafika time hutaviogopa.