Dkt. Gwajima D
Minister
- Nov 28, 2015
- 966
- 6,019
Kulingana na umri wa mtoto, na saikolojia Tete ya mtoto, lazima achukie kuja duniani na akiwa kwa mfano na watoto wengine natoa mfano ukatili wa baadhi ya wasaidizi wa ndani dhidi ya watoto tunaowaachia, nyuma ya historia ya maisha yao, kunakuwa na maumivu mengi Sana ... Hawajui kingine kuhusu kulea zaidi ya akili inamwambia piga...... Halafu tunakuja tena kulalamika na kusifiana eti sisi tulipigwa. Tunasahau hiyo spirit inabebwa na kusambaza Hadi kwa msaidizi wako, mke wako na mume wako. Halafu tunashangaa tena. Tunachopanda, ndiyo tutavuna.Kuna shule ya ipo karibu yangu hapa madogo wanakula sana mboko, sasa imagine dogo kala mboko skuli, kafika home msosi hakuna, anawahi madrasa huko nako anakutana na bakora 5 za moto.
Huyu akija kua kibaka kukutia bisu hataona kazi dadeki.
Tarehe 24 x space tuna mjadala kuhusu sayansi ya malezi na makuzi na madhara ya hizi hatua za kupiga piga. Karibuni