Hiki ni nini? Naombeni ushauri nachanganyikiwa. Nimekopa Milioni 14 natakiwa kurudisha Milioni 39

Hiki ni nini? Naombeni ushauri nachanganyikiwa. Nimekopa Milioni 14 natakiwa kurudisha Milioni 39

Nimevumilia ila nimechoka acha niwaambie, ndugu walimu nimekopa AbC bank shilingi milioni 14 nikatwe kwa miaka nane sawa na miezi 96, nakatwa shilingi laki nne na elfu 14 kwa mwezi.

Nimeshangaa kukuta kwenye salary slip deni ni milioni 39😥😥😥, nimelia sana yaani nakopa 14M narudisha 39?
Mimi kwakua nilikua nina dharula ya haraka sana nilienda ABC maana niliabiwa kule hauzunguki sana na nilipofika niliongea nao tu mda ule ule nikajaza fomu nikaondokq mkopo ukaingia kesho yake, najuta sikupata mda wa wenda kusoma makubaliano na wala hawakunipa nakala yoyote!

Hii sio haki serikali iko wapi jamani?

Nifanyeje naombeni ushauri wenu

View attachment 2744878
Huko ni udhurumati!
 
Daah hapa jiandae na tafuta watu wakufundishe kubet tu........uliposikia hela zitaingia kesho ukaona Yes dili hili hapa na ukasaini bila kusoma vigezo na masharti.Hapo pambana tu mkuu kwasababu ulisaini mwenyewe ukiwa na akili timamu,yaani miezi 96 ni miaka nane.....angalau mpaka 2032 ndiyo utaanza kupata mshahara wako halisi
 
Daah hapa jiandae na tafuta watu wakufundishe kubet tu........uliposikia hela zitaingia kesho ukaona Yes dili hili hapa na ukasaini bila kusoma vigezo na masharti.Hapo pambana tu mkuu kwasababu ulisaini mwenyewe ukiwa na akili timamu,yaani miezi 96 ni miaka nane.....angalau mpaka 2032 ndiyo utaanza kupata mshahara wako halisi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nimevumilia ila nimechoka acha niwaambie, ndugu walimu nimekopa AbC bank shilingi milioni 14 nikatwe kwa miaka nane sawa na miezi 96, nakatwa shilingi laki nne na elfu 14 kwa mwezi.

Nimeshangaa kukuta kwenye salary slip deni ni milioni 39😥😥😥, nimelia sana yaani nakopa 14M narudisha 39?
Mimi kwakua nilikua nina dharula ya haraka sana nilienda ABC maana niliabiwa kule hauzunguki sana na nilipofika niliongea nao tu mda ule ule nikajaza fomu nikaondokq mkopo ukaingia kesho yake, najuta sikupata mda wa wenda kusoma makubaliano na wala hawakunipa nakala yoyote!

Hii sio haki serikali iko wapi jamani?

Nifanyeje naombeni ushauri wenu

View attachment 2744878
😳 umesign mkopo kama wale waliosign ile kontrakti ya dipi weldi
 
Nimevumilia ila nimechoka acha niwaambie, ndugu walimu nimekopa AbC bank shilingi milioni 14 nikatwe kwa miaka nane sawa na miezi 96, nakatwa shilingi laki nne na elfu 14 kwa mwezi.

Nimeshangaa kukuta kwenye salary slip deni ni milioni 39😥😥😥, nimelia sana yaani nakopa 14M narudisha 39?
Mimi kwakua nilikua nina dharula ya haraka sana nilienda ABC maana niliabiwa kule hauzunguki sana na nilipofika niliongea nao tu mda ule ule nikajaza fomu nikaondokq mkopo ukaingia kesho yake, najuta sikupata mda wa wenda kusoma makubaliano na wala hawakunipa nakala yoyote!

Hii sio haki serikali iko wapi jamani?

Nifanyeje naombeni ushauri wenu

View attachment 2744878
Hapa mwalimu umefeli, umeingiza njaa kichwani baada ya kuiacha tumboni.


Umaskini wa walimu unafanya taasisi za fedha/mikopo zitumie hiyo fursa kukukandamiza

Inatakiwa mtu asiingie kichwa kichwa kuchukua hii mikopo, inatakiwa mtu ajipe muda wa kutosha kuchunguza
 
Mkuu nazitaka odds 3.niweke 10k kila siku
screenshot_20230910-135725_1-jpg.2744908
 

Attachments

  • Screenshot_20230910-135725_1.jpg
    Screenshot_20230910-135725_1.jpg
    52.6 KB · Views: 10
Nakubaliana na wewe hayo majamaa yanaitwa PLATNUM CREDIT ni matapeli haswa. Yana kauli ya kuvutia wateja ukiingia kwenye 18 zao utajua hujui. Nawaombeni ndugu zangu msije mkaingia kwenye mkenge wa kukopa haya matapeli.

Mfano yanakwambia hv gari lako mkopo wako. Yatakusainisha mkataba wa maajabu. Ukipitisha rejesho la mwezi kidogo wanakuja kukukamatia gari popote hata kanisani hayajali. Baada ya wiki yanatangaza kwenye magazeti gari inauzwa kwa mnada

Wapumbavu sana hao matapeli
Rweyamamu aisee anapiga njeree hatari,toka ametoka nyumba nyeupe
 
Nimevumilia ila nimechoka acha niwaambie, ndugu walimu nimekopa AbC bank shilingi milioni 14 nikatwe kwa miaka nane sawa na miezi 96, nakatwa shilingi laki nne na elfu 14 kwa mwezi.

Nimeshangaa kukuta kwenye salary slip deni ni milioni 39😥😥😥, nimelia sana yaani nakopa 14M narudisha 39?
Mimi kwakua nilikua nina dharula ya haraka sana nilienda ABC maana niliabiwa kule hauzunguki sana na nilipofika niliongea nao tu mda ule ule nikajaza fomu nikaondokq mkopo ukaingia kesho yake, najuta sikupata mda wa wenda kusoma makubaliano na wala hawakunipa nakala yoyote!

Hii sio haki serikali iko wapi jamani?

Nifanyeje naombeni ushauri wenu

View attachment 2744878
Kwa mfano ukitaka kurudisha leo wanakukata bei gan
 
Back
Top Bottom