Moja ya sababu ya nchi za ulimwengu wa tatu ikiwemo Tanzania ni kwamba tunatafuta mafanikio huku tunawafiria wengine kwa ajili ya "kuwananga" lakini mbele ya watu tunajifanya tunapenda wainuke...ni kwenye soka na michezo mingine tu kauli kama hizo ndo zimezoeleweka kwa kuwa ni za kishabiki zaidi (hazina madhara) kwa kuwa soka ni mchezo wa wazi na unaendeshwa kwa kanuni na si hisia kama ilivyo muziki (ambao unahitaji kutiana moyo)
All in all kama ni ushabiki usiomaanisha chochote zaidi ya utani bango hilo halina shida