Hili chapuo analopigiwa Lugumi ili kumsafisha linatia shaka. Mamlaka zisichukulie kama jambo la kawaida!

Hili chapuo analopigiwa Lugumi ili kumsafisha linatia shaka. Mamlaka zisichukulie kama jambo la kawaida!

Tumeona wachafu wote walirudishwa vitini na kisha wakaota mapembe, akaanza kuwatoa.

Sio huyo tu, Jisiemu, Mangji, Seedti, Kinamna, Roastharm...mara Abdibull naye katokezea etc.
  • Maali za mma zikaanza kwenda
  • Pesa za wageni zikapotea
  • Mpaka Laisy akawa anatunza pesa za wageni kama wafanyavyo akina papaa.
  • Mitandoni Mashuka ya mmasai yakaanza kutapanywa
  • Gambling imekuwa ni mchezo wa kutangazwa kwa nguvu na Chawaz wanaomtaja mzazi!

Boom, Lungumi naye huyo...Biometric vituo vya raia hamna, pesa katia kibindoni, leo ni mtu huru tu uraiani!

Ndoto ilipozidi kuwa ya kutisha, nikashtuka....
ila na yeye ni binadamu

he deserved everything asee. acha tu watu waishi 🙌🏾🙌🏾
 
gentleman,
sihusiki na ubinafsi wa mtu yeyote katika kazi na majukumu yake kiuchumi,

nadeal na siasa pekee :pulpTRAVOLTA:
Kuwa muwazi tu kwamba umekosa hoja, mizigo mingine ni mizito mno.

Uchawa (ukibaraka) ni kazi ya hovyo kuliko zote chini ya jua. Unalazimika kutetea kila uchafu na upuuzi na kuzusha uongo, uzushi, propaganda... ili ulipwe 🚮
 
Jentromen Bunduki pia zinashiriki siasa. Usikwepe uhusika.
kwahiyo kumbe zama za masuala ya akina Kinjikitile Ngwale wababe wa vita za msituni risasi kubadlika na kua maji zimerejea?

waganga na washirikina wote mmekubaliana lakini hiyo sayansi kurejeshwa kwenye matumizi?🐒
 
kwahiyo kumbe zama za masuala ya akina Kinjikitile Ngwale wababe wa vita za msituni risasi kubadlika na kua maji zimerejea?

waganga na washirikina wote mmekubaliana lakini hiyo sayansi kurejeshwa kwenye matumizi?🐒
Uvccm wanamiliki Bunduki Nani kawaruhusu ?
Siasa Ni Bunduki huko sisiem.
 
Wakuu,

Kama mmeona sasa hivi karibu kila siku Lugumi yuko kwenye media, mara katoa msaada kwa watoto yatima, mara anajengea yatima nyumba, mara kaalika watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu kufanya dua, mara sijui kaenda kulisha wapi, yaani ni heka heka mtindo mmoja.

Na Millard kama kawa kwenye ishu hizi hakosi. Siyo siri kuwa anatumika na watu mbalimbali mashuhuri kuwasafisha kutokana na uozo wanaofanya kwa maslahi binafsi.

Mitume na manabii wenye rekodi za ajabu wanamtumia Millard awasafishe, wanasiasa wapuuzi wakitaka mambo yao yapaishwe kuonekana wema na wanawatumikia watanzania kama mama Teresa Millard ndio kimbilio lao, GSM (Home Shopping Center) wamemtumia vizuri kuwanfanya raia wawaone wema wakati ni wachafu zaidi ya uchafu wenyewe (kupata picha ya ufirauni wa kina GSM soma hapa - .

Millard kafuta habari zote za ufisadi kuhusu Lugumi unafikiri amefanya hivyo bila kuachiwa mzigo? Kwa hili chapuo anafanya kuhakikisha yupo machoni petu kila wakati atakuwa kamegewa mzigo mchafu wa kutosha.

Ninavyofahamu Lugumi ako na skendo za ufisadi wa kutosha, na nasikia ni mafia kwelikweli.

Hili chapuo si bahati mbaya, limekuja ghafla na kwa kasi ya ajabu, inadaiwa anaenda kuingizwa Jeshini (kama bado halijafanyika tayari) na hii ni hatari kwa usalama wa nchi.

Tunaenda kupigwa na kitu kizito jamani, amkeni tukatae mafisadi, hili bomu linalokuja tutabaki mdomo wazi!

Ni kwanini haya yanatokea chini ya Utawala wa Rais Samia?
Hili lijamaa limeibuka ghafla mtandaoni, linapost motivation comments, linsjigamba linatoa misaada,
Baada ya kuiba na kukusanya pesa haramu, sasa hv, guilty is killing him, maumivu makali kwa mazambi liliyofanya, lilitegemea kuwa na ma Vogue 20 kwenye chumba cha AC, italeta furaha, furaha ipo kuyaendesha, lakini mwili unachakaa, macho yanashindwa kuona mbali,utaendeshaje? Nafsi inamsuta, mtu una ukwasi mkubwa kama vile, lakini hauna wafanyakazi hata 10! He better drop and die
 
Wakuu,

Kama mmeona sasa hivi karibu kila siku Lugumi yuko kwenye media, mara katoa msaada kwa watoto yatima, mara anajengea yatima nyumba, mara kaalika watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu kufanya dua, mara sijui kaenda kulisha wapi, yaani ni heka heka mtindo mmoja.

Na Millard kama kawa kwenye ishu hizi hakosi. Siyo siri kuwa anatumika na watu mbalimbali mashuhuri kuwasafisha kutokana na uozo wanaofanya kwa maslahi binafsi.

Mitume na manabii wenye rekodi za ajabu wanamtumia Millard awasafishe, wanasiasa wapuuzi wakitaka mambo yao yapaishwe kuonekana wema na wanawatumikia watanzania kama mama Teresa Millard ndio kimbilio lao, GSM (Home Shopping Center) wamemtumia vizuri kuwanfanya raia wawaone wema wakati ni wachafu zaidi ya uchafu wenyewe (kupata picha ya ufirauni wa kina GSM soma hapa - .

Millard kafuta habari zote za ufisadi kuhusu Lugumi unafikiri amefanya hivyo bila kuachiwa mzigo? Kwa hili chapuo anafanya kuhakikisha yupo machoni petu kila wakati atakuwa kamegewa mzigo mchafu wa kutosha.

Ninavyofahamu Lugumi ako na skendo za ufisadi wa kutosha, na nasikia ni mafia kwelikweli.

Hili chapuo si bahati mbaya, limekuja ghafla na kwa kasi ya ajabu, inadaiwa anaenda kuingizwa Jeshini (kama bado halijafanyika tayari) na hii ni hatari kwa usalama wa nchi.

Tunaenda kupigwa na kitu kizito jamani, amkeni tukatae mafisadi, hili bomu linalokuja tutabaki mdomo wazi!

Ni kwanini haya yanatokea chini ya Utawala wa Rais Samia?
Acha ukuda.
 
Wakuu,

Kama mmeona sasa hivi karibu kila siku Lugumi yuko kwenye media, mara katoa msaada kwa watoto yatima, mara anajengea yatima nyumba, mara kaalika watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu kufanya dua, mara sijui kaenda kulisha wapi, yaani ni heka heka mtindo mmoja.

Na Millard kama kawa kwenye ishu hizi hakosi. Siyo siri kuwa anatumika na watu mbalimbali mashuhuri kuwasafisha kutokana na uozo wanaofanya kwa maslahi binafsi.

Mitume na manabii wenye rekodi za ajabu wanamtumia Millard awasafishe, wanasiasa wapuuzi wakitaka mambo yao yapaishwe kuonekana wema na wanawatumikia watanzania kama mama Teresa Millard ndio kimbilio lao, GSM (Home Shopping Center) wamemtumia vizuri kuwanfanya raia wawaone wema wakati ni wachafu zaidi ya uchafu wenyewe (kupata picha ya ufirauni wa kina GSM soma hapa - .

Millard kafuta habari zote za ufisadi kuhusu Lugumi unafikiri amefanya hivyo bila kuachiwa mzigo? Kwa hili chapuo anafanya kuhakikisha yupo machoni petu kila wakati atakuwa kamegewa mzigo mchafu wa kutosha.

Ninavyofahamu Lugumi ako na skendo za ufisadi wa kutosha, na nasikia ni mafia kwelikweli.

Hili chapuo si bahati mbaya, limekuja ghafla na kwa kasi ya ajabu, inadaiwa anaenda kuingizwa Jeshini (kama bado halijafanyika tayari) na hii ni hatari kwa usalama wa nchi.

Tunaenda kupigwa na kitu kizito jamani, amkeni tukatae mafisadi, hili bomu linalokuja tutabaki mdomo wazi!

Ni kwanini haya yanatokea chini ya Utawala wa Rais Samia?
Kwani kwenye hii regime ni fisadi gani papa asietesa .
 
Wengi huhoji biashara ya Lugumi ni ipi?

Screenshot_20241230-133751.png

Kwa haraka haraka kama ulifahamu biashara za manji ndio hizo anafanya Lugumi hadi leo.

Majuzi Said Hamad Lugumi alisikika akisema mwaka 2013 Manji alimkopesha dollar milioni 40, watu wakashangaa, anyway hua anasema akikwama anaomba msaada Israel unajua kwa nini?

Pia soma: Hili chapuo analopigiwa Lugumi ili kumsafisha linatia shaka. Mamlaka zisichukulie kama jambo la kawaida!

Israel matajiri wa viwanda vya silaha mbalimbali Lugumi enterprise's ni certified agent wa kusambaza au kuuza silaha na vifaa vya kijeshi kwenye nchi mbalimbali, iwe ulaya mashariki, America na pengine pote hadi nchi nyingi za Afrika huko ndio Lugumi hupatia pesa zake.

Ukisema Lugumi ni fisadi ladies and Gentlemen unaudanganya moyo wako maana hata jiwe alijaribu kutaka aishi kama shetani aliishia kuona kina kirefu.

Hata ile tenda ya polisi mzigo waliuzuia bandarini ndio wakaona wamtarget ili wamfilisi lakini kuja kushtuka Lugumi ni mogul supplier wa bidhaa hizo nchi nyingi tu.

Pia soma: Vyombo vya Habari Tanzania vyawekwa Mfukoni mwa Lugumi. Taarifa zake za Ufisadi zaondolewa Mitandaoni

Watanzania biashara sio duka Tu UNAPOKUA NA connection dunia ni rahisi sana, jamaa anaingiza pesa ndefu kuliko mnavofikiri.

Tuachane na kulaumu waliofanikiwa, watu walishaandaa njia zao za pesa kitambo na tuache ujuaji tupambane nasi kusaka mafanikio maana kutokufanikiwa duniani ni aibu.
 
Wengi huhoji biashara ya Lugumi ni ipi?


Kwa haraka haraka kama ulifahamu biashara za manji ndio hizo anafanya Lugumi hadi leo.

Majuzi Said Hamad Lugumi alisikika akisema mwaka 2013 Manji alimkopesha dollar milioni 40, watu wakashangaa, anyway hua anasema akikwama anaomba msaada Israel unajua kwa nini?

Pia soma: Hili chapuo analopigiwa Lugumi ili kumsafisha linatia shaka. Mamlaka zisichukulie kama jambo la kawaida!

Israel matajiri wa viwanda vya silaha mbalimbali Lugumi enterprise's ni certified agent wa kusambaza au kuuza silaha na vifaa vya kijeshi kwenye nchi mbalimbali, iwe ulaya mashariki, America na pengine pote hadi nchi nyingi za Afrika huko ndio Lugumi hupatia pesa zake.

Ukisema Lugumi ni fisadi ladies and Gentlemen unaudanganya moyo wako maana hata jiwe alijaribu kutaka aishi kama shetani aliishia kuona kina kirefu.

Hata ile tenda ya polisi mzigo waliuzuia bandarini ndio wakaona wamtarget ili wamfilisi lakini kuja kushtuka Lugumi ni mogul supplier wa bidhaa hizo nchi nyingi tu.

Pia soma: Vyombo vya Habari Tanzania vyawekwa Mfukoni mwa Lugumi. Taarifa zake za Ufisadi zaondolewa Mitandaoni

Watanzania biashara sio duka Tu UNAPOKUA NA connection dunia ni rahisi sana, jamaa anaingiza pesa ndefu kuliko mnavofikiri.

Tuachane na kulaumu waliofanikiwa, watu walishaandaa njia zao za pesa kitambo na tuache ujuaji tupambane nasi kusaka mafanikio maana kutokufanikiwa duniani ni aibu.

Chawa ushapewa mlungula uje ufanye kazi yako:BearLaugh::BearLaugh::BearLaugh:

Kaweza kuhonga akina Millard kaja kukutana na kigingi JamiiForums ambako uozo wake wote ufisadi upo mwanzo mwisho. Mtashaaa na huyo mafia wenu
 
Back
Top Bottom