Hili chapuo analopigiwa Lugumi ili kumsafisha linatia shaka. Mamlaka zisichukulie kama jambo la kawaida!

Hili chapuo analopigiwa Lugumi ili kumsafisha linatia shaka. Mamlaka zisichukulie kama jambo la kawaida!

Wapi pengine duniani alishafanya biashara ya silaha nje ya Tanzania? Nchi gani nyingine alishawahi kuiuzia silaha?.

Hiyo picha sio issue mkuu, wapo watu wanapicha wamepiga wamesimama jirani na kushika Abraham tanks, B52, F35, migs, Sukhoi nk.

Tuache kutetea ujinga.
 
Usituone watoto yaani picha akiwa duka la nje la siraha i justify biashara zake.
Lugumi na Chief Godlove kuna siku watasema ukweli tu.
 
Mheshimiwa alijaribu kumtikisa akakuta ni mti wa zege, akaachana naye... Na ile kesi yake ya mashine za Finger Print kwa vituo vya polisi nchi nzima iliishayeyuka...

Kangi alimpiga mkwara Mbuzi akapotea yeye...

Eti tajiri ajenge tu jengo la ghorofa nane kwa ajili ya watoto yatima? Miaka ijayo tutakuja kujua kunani kuhusu hawa watoto 800 na hilo jengo.. :ALIENALIENALIENALIENALIEN: Tusisahau ya Cambiaso na Football Academy.
Aliachana naye baada ya Lugumi kuamua kujitotolea kumshawishi Mange kwa kumlipa mamilion ya dollars asiendelee kuanika na kumchafua mambo yake faraghani. Hicho tu ndo Lugumi alipona kwa jamaa.
 
Wakuu Jf imekuwa hacked au
Uki ingial kwenye hio Post ya lugumi mharir akiwa gwanseri

Screenshot_20241230-150209.jpg

Lakini hiyo post ikifunguka inabadilika na kuwa na title nyingine na mharir ni Cute Wife
Screenshot_20241230-150234.jpg
 
Wengi huhoji biashara ya Lugumi ni ipi?


Kwa haraka haraka kama ulifahamu biashara za manji ndio hizo anafanya Lugumi hadi leo.

Majuzi Said Hamad Lugumi alisikika akisema mwaka 2013 Manji alimkopesha dollar milioni 40, watu wakashangaa, anyway hua anasema akikwama anaomba msaada Israel unajua kwa nini?

Pia soma: Hili chapuo analopigiwa Lugumi ili kumsafisha linatia shaka. Mamlaka zisichukulie kama jambo la kawaida!

Israel matajiri wa viwanda vya silaha mbalimbali Lugumi enterprise's ni certified agent wa kusambaza au kuuza silaha na vifaa vya kijeshi kwenye nchi mbalimbali, iwe ulaya mashariki, America na pengine pote hadi nchi nyingi za Afrika huko ndio Lugumi hupatia pesa zake.

Ukisema Lugumi ni fisadi ladies and Gentlemen unaudanganya moyo wako maana hata jiwe alijaribu kutaka aishi kama shetani aliishia kuona kina kirefu.

Hata ile tenda ya polisi mzigo waliuzuia bandarini ndio wakaona wamtarget ili wamfilisi lakini kuja kushtuka Lugumi ni mogul supplier wa bidhaa hizo nchi nyingi tu.

Pia soma: Vyombo vya Habari Tanzania vyawekwa Mfukoni mwa Lugumi. Taarifa zake za Ufisadi zaondolewa Mitandaoni

Watanzania biashara sio duka Tu UNAPOKUA NA connection dunia ni rahisi sana, jamaa anaingiza pesa ndefu kuliko mnavofikiri.

Tuachane na kulaumu waliofanikiwa, watu walishaandaa njia zao za pesa kitambo na tuache ujuaji tupambane nasi kusaka mafanikio maana kutokufanikiwa duniani ni aibu.

Ngoja tuzidi kumpa chapuo, maana hata ku comment hapa tunaongeza advertising strategy ya Lugumi Enterprises Limited kwa ulimwengu wote na faida kwa taifa .
 
Wengi huhoji biashara ya Lugumi ni ipi?


Kwa haraka haraka kama ulifahamu biashara za manji ndio hizo anafanya Lugumi hadi leo.

Majuzi Said Hamad Lugumi alisikika akisema mwaka 2013 Manji alimkopesha dollar milioni 40, watu wakashangaa, anyway hua anasema akikwama anaomba msaada Israel unajua kwa nini?

Pia soma: Hili chapuo analopigiwa Lugumi ili kumsafisha linatia shaka. Mamlaka zisichukulie kama jambo la kawaida!

Israel matajiri wa viwanda vya silaha mbalimbali Lugumi enterprise's ni certified agent wa kusambaza au kuuza silaha na vifaa vya kijeshi kwenye nchi mbalimbali, iwe ulaya mashariki, America na pengine pote hadi nchi nyingi za Afrika huko ndio Lugumi hupatia pesa zake.

Ukisema Lugumi ni fisadi ladies and Gentlemen unaudanganya moyo wako maana hata jiwe alijaribu kutaka aishi kama shetani aliishia kuona kina kirefu.

Hata ile tenda ya polisi mzigo waliuzuia bandarini ndio wakaona wamtarget ili wamfilisi lakini kuja kushtuka Lugumi ni mogul supplier wa bidhaa hizo nchi nyingi tu.

Pia soma: Vyombo vya Habari Tanzania vyawekwa Mfukoni mwa Lugumi. Taarifa zake za Ufisadi zaondolewa Mitandaoni

Watanzania biashara sio duka Tu UNAPOKUA NA connection dunia ni rahisi sana, jamaa anaingiza pesa ndefu kuliko mnavofikiri.

Tuachane na kulaumu waliofanikiwa, watu walishaandaa njia zao za pesa kitambo na tuache ujuaji tupambane nasi kusaka mafanikio maana kutokufanikiwa duniani ni aibu.
Hizo silaha hata wewe unaweza enda trade expo za China, Russia, UAE au ya pamoja ya Ulaya ukapiga picha.

Pia Lugumi hana hadhi ya kuuza silaha Israel, wala hana hadhi kuuza silaha Egypt wale wana military industrial complex kubwa. Tenda za silaha Egypt hata mtu mwenye hela kama Mo Dewji hasogelei. Zina security clearance kubwa na zinafanywa na watu wa ndani wa vyombo vya ulinzi na usalama ambao huwa wanarithishana kwa vizazi.

Lugumi tuseme ni arms dealer. Tena wa level za kawaida na hela zote kapatia bongo kwa tenda ambazo zina makandokando. Ni dalali wa silaha, akikazana anakuwa kama Bulgarians na anakuwa wanted.
 
Legitimate of lugumi ni JK 😂,
Chura kiziwi anavimba but supplier wa security yake ni lugumi,

Nchi ilishakufa miaka mingi ,Wacha wahuni wajipigie
Blender ndiyo maana kuna wakuda wanakesha wakimuomba mungu amtume malaika mchukua roho fasta ili nchi eti ipone. Of course kuna ujinga mwingi sana hata Dkt Samia hawezi kuusimamia inabidi aangalie tu maana roho yake iko mikononi mwao muda wowote. Ukitaka kuthibitisha kumbuka enzi za Dkt Kikwete na Said Mwema aliwahi sema “Tukiwagusa hao nchi itayumba”. So unategemea nini as long as bado yupo hai. Ila tunaamini nchi yetu imejengwa kwenye misingi ya uadilifu na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ni waaminifu, hili jambo ni long term strategy, hata hawa kina Lugumi wote watakuja kupotea na kila kilichoibiwa kitarudi, ni suala la muda tu!
 
Binadamu tumejaa chuki, Husda na Wivu huu wote ni WIVU UNAWASUMBUA.. Ukitoboa watasema Umetoa kafara Umeroga Usipotoboa utaambiwa Umerogwa Umetolewa kafara Ilimradi tu watu waone tuko level Moja ya Umaskini wa kuamkia kuamkia Viporo vya jana usiku.

Kazi kwelikweli
 
Ilimradi napata furaha kwamba Simba na Yanga wanaipaisha Ligi yetu,hayo mengine sijali kabisa. Ikiwezekana waigawane nchi, sisi wengine tuwe Wapangaji, ni sawa tuuuu....mambo ya hii nchi yanakatisha tamaa sana.
 
Blender ndiyo maana kuna wakuda wanakesha wakimuomba mungu amtume malaika mchukua roho fasta ili nchi eti ipone. Of course kuna ujinga mwingi sana hata Dkt Samia hawezi kuusimamia inabidi aangalie tu maana roho yake iko mikononi mwao muda wowote. Ukitaka kuthibitisha kumbuka enzi za Dkt Kikwete na Said Mwema aliwahi sema “Tukiwagusa hao nchi itayumba”. So unategemea nini as long as bado yupo hai. Ila tunaamini nchi yetu imejengwa kwenye misingi ya uadilifu na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ni waaminifu, hili jambo ni long term strategy, hata hawa kina Lugumi wote watakuja kupotea na kila kilichoibiwa kitarudi, ni suala la muda tu!
Mkuu Mudawote Kuna viashiria vya ukombozi naziona sooner kutokea, maana kuna kete ngumu zinasukumwa kwa Kasi ya ajabu
 
He used to be there hakuna jipya
Ni supplier wa bidhaa militalia we elewa ivo
Lugumi ni supplier wa silaha ,je hizo tenda zinatangazwaga wapi na anapataje? hana kama ni emergency for security reasons hapo ndio kuna changamoto ya mianya mizuri
 
Tumeona wachafu wote walirudishwa vitini na kisha wakaota mapembe, akaanza kuwatoa.

Sio huyo tu, Jisiemu, Mangji, Seedti, Kinamna, Roastharm...mara Abdibull naye katokezea etc.
  • Maali za mma zikaanza kwenda
  • Pesa za wageni zikapotea
  • Mpaka Laisy akawa anatunza pesa za wageni kama wafanyavyo akina papaa.
  • Mitandoni Mashuka ya mmasai yakaanza kutapanywa
  • Gambling imekuwa ni mchezo wa kutangazwa kwa nguvu na Chawaz wanaomtaja mzazi!

Boom, Lungumi naye huyo...Biometric vituo vya raia hamna, pesa katia kibindoni, leo ni mtu huru tu uraiani!

Ndoto ilipozidi kuwa ya kutisha, nikashtuka....
Amka ukakojoe, hii ndoto inatisha Sana , Kama sio kuogopesha.
 
Back
Top Bottom