We jamaa utakuwa una undo Sana, dakika 39?
We apiov huewezi kunifungaMm ningekulia hela bure licha sijawai kulicheza ilo draft
Send by APOLO 1
Mnafaidi! La apple store hakuna tanzanian rules, natumia portuguese rules, ndio zinashabihiana na za bongo ila katika kula huchagui unakula ile yenye mzunguko mkubwa!
Ukiweka custom rules linakaa kulia kushoto, kushoto kulia.
We jamaa unajua..[emoji122][emoji122][emoji122]Nimemfunga lakini huyu mwamba ni hatari
Tunaomba screenshot ya gemu ulizoshinda..
Hongera maana sio kazi ndogo
Hongera maana sio kazi ndogo
Upload hapa Kama sisi
Jamaa force king hakubali,yaani hata ukimtega vipi anaruka.Huyu mjamaa nilimu-underrate jana nilivyotoa draw game ya kwanza.
Jamaa anajua aisee, maana nilikuwa naishia draw tena kwa shida.
Jamaa force king hakubali,yaani hata ukimtega vipi anaruka.
Kuna formula moja hivi nikichezaga hakuna anayeruka Ila huyu jamaa kachomoa Kama 2 hivi
Nikajua na wewe ume update via apple store ?