Hili draft la Dalmax la Google Play limenishinda aisee, hii app ina mchezo mkubwa sana

jamaa ananisumbua kichizi ,nashindwa kulala ,unajua mi sipendi kupigwa kiboya,
nimeshinda mitatu kati ya michezo kama mia tatu ivi
natamani hata kulia
kwanza mitego yote anaijua
ukishindana naye stepu ndio umeumia kabisa
vile vimichezo sijui sumu ya pandu sijui nini ,yaani utaumia tu,
mchezo wa kuanza kete ya meja mara nyingi inakuwa suluhu jamaa anakupiga vizuri tu
ILI DUDE LIMENIONYESHA kuwa mimi SIJUI DRAFT
 
Nimeshinda game 1 katika michezo 60
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi Kuna ndezi nimewapigia hela kwa lile draft..naweka hela afu Nampa apambane nalo..ye nime mla elfu kumi..hio version ya draft Ni hatari na nusu
Sema mi sijui nakosea kwenye setting za custom maana kuna mda anatakiwa ale mbili ili nimuue king yake unakuta ananyoosha hakatizi kwenye kula pa kuliwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…