Hili draft la Dalmax la Google Play limenishinda aisee, hii app ina mchezo mkubwa sana

Hili draft la Dalmax la Google Play limenishinda aisee, hii app ina mchezo mkubwa sana

Nikiri kwamba mimi sikuwahi kuhisi nina kasoro kwenye draft hasa baada ya kula vijero jero kuanzia shule mpaka uraiani lakini hii dalmax mamayo zake


Game ya 40 sasa sijaona hata mwanga wa ushindi😂
Sasa mimi na wewe nani akalime?

Jamaa game ya kwanza kanishona. La pili nikamshona la 3 suluhu.

La nne suluhu.

Halafu akinotice formula hii unamfunga atahakikisha hauweki kete katika mtindo wa kumpa tabu.

Kashajua formula zangu 2 na kazitight mpaka tunatoka suluhu.

Wewe ni kibonde katika hizi mambo. Baba yangu ni mzee Profesa Jitu Kali Jitu la Mabao. Kama humjui huyo mzee basi wewe ulikua huchezi drafti ulikua unacheza masikhara.
 
Sasa mimi na wewe nani akalime?

Jamaa game ya kwanza kanishona. La pili nikamshona la 3 suluhu.

La nne suluhu.

Halafu akinotice formula hii unamfunga atahakikisha hauweki kete katika mtindo wa kumpa tabu.

Kashajua formula zangu 2 na kazitight mpaka tunatoka suluhu.

Wewe ni kibonde katika hizi mambo. Baba yangu ni mzee Profesa Jitu Kali Jitu la Mabao. Kama humjui huyo mzee basi wewe ulikua huchezi drafti ulikua unacheza masikhara.
Wacha porojo baba yako sio wewe na kama umemshona leta screenshot hapa na si kelele

Halafu shauri yako mvua ndio zinakata saizi ni heri ukamalizie palizi shamba lako ni chafu

Ila sio siri hilo Dalmax ni jitu kuliko hata mzee wako
 
Wacha porojo baba yako sio wewe na kama umemshona leta screenshot hapa na si kelele

Halafu shauri yako mvua ndio zinakata saizi ni heri ukamalizie palizi shamba lako ni chafu

Ila sio siri hilo Dalmax ni jitu kuliko hata mzee wako
Hahaha mvua zimenipiga ekari moja ya nyanya. Nipo Dar najiuliza kwanza.

Mtoto wa nyoka ni nyoka. Huyu namtafutia timing akae michezo minne mfululizo
 

Attachments

  • Screenshot_20200509-150010.png
    Screenshot_20200509-150010.png
    269.6 KB · Views: 10
Wacha porojo baba yako sio wewe na kama umemshona leta screenshot hapa na si kelele

Halafu shauri yako mvua ndio zinakata saizi ni heri ukamalizie palizi shamba lako ni chafu

Ila sio siri hilo Dalmax ni jitu kuliko hata mzee wako
Na jingine hili anakaa tena.

Mi ni hatare kijana na hapa natumia uzoefu maana nimeacha drafti siku hizi nacheza play station tu.
 

Attachments

  • Screenshot_20200509-173713.png
    Screenshot_20200509-173713.png
    272.9 KB · Views: 10
NAOMBA KUJUA, HUYO JAMAA MNAMFUNGAJE?

Nimecheza game zaid ya 30 zote naambulia vichapo, najaribu ku-undo wapi, napigika tu km mbwa koko

Sent using Jamii Forums mobile app
Cheza naye kwa formation ya kuweka kete zako 5 katika meja ndogo.

Kama huijui hiyo formula atakuua.
 

Attachments

  • Screenshot_20200509-180153.png
    Screenshot_20200509-180153.png
    266.4 KB · Views: 10
Nachomsifu dalmax ana mitego midogo midogo mingi , anavizia na anapenda sana force king. Hata iwe ya sare yeye haachi force

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna force moja niliwahi kuipiga mara moja tu katika maisha ya drafti na nilishaisahau, si nikaivagaa?

Ni hatari hii A.I hatimaye leo hii kompyuta inanifikirisha
 
Back
Top Bottom