Hili draft la Dalmax la Google Play limenishinda aisee, hii app ina mchezo mkubwa sana

Hili draft la Dalmax la Google Play limenishinda aisee, hii app ina mchezo mkubwa sana

Mengi ya hayo madraft hayana sheria za Tanzania. Ni madraft ya kindezi sana. Mfano unakuta umeingia king,halafu kuna kete yake inatakiwa iliwe either na king au kete yangu ya kawaida na mimi nakuwa nimetega kula kwa kete yangu isiyo king. Anakukatalia kula kwa kete ya kawaida anataka ule kwa king tu. Mwenye draft la sheria za Tanzania hilo lije

Sent using Jamii Forums mobile app
Dalmax liko vzr kwa sheria za nchi unayotaka. Mm si mpenzi wa games lkn hili nimetulia.

Kuna kipindi limenibana nika play sare, likagoma.
 
Kumfunga dalmax ni ngumu, na hata hao wanaojitapa wamemfunga wameshaambulia vipigo vingi ila hawasemi. Dalmax ni computerized, isn't prone to errors, ili umfunge opponent wako lazma afanye makosa ndo mfunge tofauti na dalmax ambaye hafanyi makosa ya kibinadamu...just play for fun forget about winning.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Screenshot_20200520-185227.png

Dakika 3:26 nimemnyoosha huyo mnaemshindwa

Game nyingi tu nampiga ila anajua saaaaana hii kitu
 
Kumfunga dalmax ni ngumu, na hata hao wanaojitapa wamemfunga wameshaambulia vipigo vingi ila hawasemi. Dalmax ni computerized, isn't prone to errors, ili umfunge opponent wako lazma afanye makosa ndo mfunge tofauti na dalmax ambaye hafanyi makosa ya kibinadamu...just play for fun forget about winning.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kanifunga mechi nyingi kuliko nilizomfunga.ila mimi sare ni kama 50%, kunifunga 30% na kumfunga 20%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumfunga dalmax ni ngumu, na hata hao wanaojitapa wamemfunga wameshaambulia vipigo vingi ila hawasemi. Dalmax ni computerized, isn't prone to errors, ili umfunge opponent wako lazma afanye makosa ndo mfunge tofauti na dalmax ambaye hafanyi makosa ya kibinadamu...just play for fun forget about winning.

Sent using Jamii Forums mobile app

Unatakiwa kujua kwamba ni man made program, na configuration zinategemea walioitengeneza walikuwa na uwezo kiasi gani kuweza kufanya capturing ya moves.

Kwa hiyo kwa anayejua draft, huyu Dalmax ni mwepesi sana.
 
Back
Top Bottom