lufungulo k
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 2,601
- 2,058
Kwambaali nimeambulia sare baada ya vipigo mfululizo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dalmax liko vzr kwa sheria za nchi unayotaka. Mm si mpenzi wa games lkn hili nimetulia.Mengi ya hayo madraft hayana sheria za Tanzania. Ni madraft ya kindezi sana. Mfano unakuta umeingia king,halafu kuna kete yake inatakiwa iliwe either na king au kete yangu ya kawaida na mimi nakuwa nimetega kula kwa kete yangu isiyo king. Anakukatalia kula kwa kete ya kawaida anataka ule kwa king tu. Mwenye draft la sheria za Tanzania hilo lije
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja Leo nicheze tenaMimi mwenyewe siyo mtaalamu hivyo, naunga unga tu.
Ni kweli kanifunga mechi nyingi kuliko nilizomfunga.ila mimi sare ni kama 50%, kunifunga 30% na kumfunga 20%Kumfunga dalmax ni ngumu, na hata hao wanaojitapa wamemfunga wameshaambulia vipigo vingi ila hawasemi. Dalmax ni computerized, isn't prone to errors, ili umfunge opponent wako lazma afanye makosa ndo mfunge tofauti na dalmax ambaye hafanyi makosa ya kibinadamu...just play for fun forget about winning.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumfunga dalmax ni ngumu, na hata hao wanaojitapa wamemfunga wameshaambulia vipigo vingi ila hawasemi. Dalmax ni computerized, isn't prone to errors, ili umfunge opponent wako lazma afanye makosa ndo mfunge tofauti na dalmax ambaye hafanyi makosa ya kibinadamu...just play for fun forget about winning.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio mwepesi kihivyoUnatakiwa kujua kwamba ni man made program, na configuration zinategemea walioitengeneza walikuwa na uwezo kiasi gani kuweza kufanya capturing ya moves.
Kwa hiyo kwa anayejua draft, huyu Dalmax ni mwepesi sana.
Mkuu mimi huwa sibahatishi, nawaletea rekodi mbali mbali. Nimebahatisha kivipi huku nilileta mbili za dk 41 na 47
Kucheza chini ya dk 1 inamaanisha wewe usifikirie hata sekunde, dalmax ndio aumize kichwa.Mimi sasa hivi nachezea kwenye dakika chini ya 3.
Sijaweza kuingia kwenye sekunde chini ya 60.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa kiwango changu linaninyoosha ile mbaya pale ninapolibana na kuamini hili nashinda duuuuh, linachoropoka na kipigo juu.
Ushindi wangu ni sare
Narudi kupambana nalo! Ntaleta mrejesho nacheza nalo game 3