zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
ivi unakumbukumbu nyau alipopigwa na LIBOLO Fc magazeti yaliandikajeUtaandika Manyani FC walivyoshangilia bao la kufutia machozi la Namungo.ππππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ivi unakumbukumbu nyau alipopigwa na LIBOLO Fc magazeti yaliandikajeUtaandika Manyani FC walivyoshangilia bao la kufutia machozi la Namungo.ππππππππ
Yanga hii hii ya 4-1 ambayo ukiwa na rasta na jezi ukapita mitaa ya twiga unasajiliwa?Uwezi ukafanya kipindi cha michezo kwenye TV,redio, gazeti au social media ukawa mbali na Yanga. Yanga ndio DNA ya mpira wa Tanzania yanga ilianzishwa 1935 ndio klabu pekee Tanzania iliyo anzishwa mwaka uo ambayo bado mbaka sasa inajishughulisha na soka.
Asilimia 70 ya wapenda soka Tanzania ni mashabiki wa yanga, uiandike/uisemee kwa mabaya au mazuri lakini bado utapata wafuatiliaji wengi wanao taka kujua unacho ongea au andika.
Sasa msiwalaumu waandishi wakati wao wanajua Yanga inauza habari. Ata msemaji wa mbumbumbu fc hawezi kusema bila kuitaja Yanga. Yanga ni kama pumzi. Simba ivi karibun wamechukua ubingwa lakini habari ya mjiini ni Yanga wanafanya nini.
Utakuwa nyani kuumbona habari zina mvuto kabisa mkuu angalia habari za nyau fc utaandika nini? kama fainal ya jana ilikuwa ya kibwege tu hakuna cha maana utaandika nini?
Mtabaki hvyo hvyo na 1935. Nn kinadanyika kwa umri huo ZEROUwezi ukafanya kipindi cha michezo kwenye TV,redio, gazeti au social media ukawa mbali na Yanga. Yanga ndio DNA ya mpira wa Tanzania yanga ilianzishwa 1935 ndio klabu pekee Tanzania iliyo anzishwa mwaka uo ambayo bado mbaka sasa inajishughulisha na soka.
Asilimia 70 ya wapenda soka Tanzania ni mashabiki wa yanga, uiandike/uisemee kwa mabaya au mazuri lakini bado utapata wafuatiliaji wengi wanao taka kujua unacho ongea au andika.
Sasa msiwalaumu waandishi wakati wao wanajua Yanga inauza habari. Ata msemaji wa mbumbumbu fc hawezi kusema bila kuitaja Yanga. Yanga ni kama pumzi. Simba ivi karibun wamechukua ubingwa lakini habari ya mjiini ni Yanga wanafanya nini.
Yawezekana kwan minyani c midude ya hovyo tuMuulize mwandishi yeyote wa habari za michezo Tanzania. Atakwambia Yanga ndiyo inauza habari.
Yanga ndiyo klabu yenye matukio mengi positive au negative yanayoandikwa na kuripotiwa Tanzania.
Sports arena ya wasafi leo kaangalie comments Youtube uone jinsi watu walivyowaponda kwa kutozungumzia Yanga na kuzungumzia Simba. Nenda ukascroll live comments za sports arena leo ndiyo ujue watanzania hawajali sana habari za Simba au Azam.
It's all about bussiness ...
Sio kwa chichi yule muomba ofa,minazini na pr stadiumChichi ni swahiba wangu mkubwa, tena Yanga damu. Wanywaji wengi baa ile ni yanga, tatizo nyinyi watu wa mkoa huwa mnajifanya wajuaji mkifika mjini.
Sorry.
Mrushie ndizi kabisa hajalaUtakuwa nyani kuu
Hehe,Sio kwa chichi yule muomba ofa,minazini na pr stadium
ivi unakumbukumbu nyau alipopigwa na LIBOLO Fc magazeti yaliandikaje
Yanga ni timu ya wananchi na Mwanaspoti ni gazeti la Mwanachi
Bora Eymal alisema washabiki hawajelimika.Ausseum alisema bodi ya Simba imekaa wajinga na wasiojielewa.Hawajui mpira.Hebu fikili bashite Ni mshauri wa bodi,unategemea Nini hapo?Hili jambo huwezi lielewa. Kama ni mshabiki wa yanga utaishia tu ku prove alichosema Luc Eymael kuwa mashabiki wa Yanga ni manyani na mbwa pia hawaelimika.
Yanga ni timu ya wananchi na Mwanaspoti ni gazeti la Mwanachi
Fikiria simba inacheza na esperance halafu yanga inacheza na singida ipi habari au Simba inacheza fainal ya ascf cup na yanga inalumbana na wachezaji wake kuhusu mikataba ipi habari hawa waandishi wenu vilaza ndio wanawaponza kufikiri mna timu ya maana kumbe sifuriUwezi ukafanya kipindi cha michezo kwenye TV,redio, gazeti au social media ukawa mbali na Yanga. Yanga ndio DNA ya mpira wa Tanzania yanga ilianzishwa 1935 ndio klabu pekee Tanzania iliyo anzishwa mwaka uo ambayo bado mbaka sasa inajishughulisha na soka.
Asilimia 70 ya wapenda soka Tanzania ni mashabiki wa yanga, uiandike/uisemee kwa mabaya au mazuri lakini bado utapata wafuatiliaji wengi wanao taka kujua unacho ongea au andika.
Sasa msiwalaumu waandishi wakati wao wanajua Yanga inauza habari. Ata msemaji wa mbumbumbu fc hawezi kusema bila kuitaja Yanga. Yanga ni kama pumzi. Simba ivi karibun wamechukua ubingwa lakini habari ya mjiini ni Yanga wanafanya nini.
Duuuh! Ndio kusema jamaa kwel manyanYanga ndio ina mashabiki wanaonunua magazeti ya michezo kwa sana..
Wafanyabiashara wanalijua hilo..
Gazeti bila kuweka habari ya yanga.. na kichwa cha habari kikubwa kuhusu yanga haliuziki sana..
Hiyo ni mbinu ya sales
Mkaruka mzee wa misukuleMashabiki lialia akili zenu huwa Ni Zero.
No wonder people are making you stepping Stones to wealth.
Very stupid
Magazeti yashajua mashabiki ni "Misukule" ya Simba na Yanga.Mkaruka mzee wa misukule