Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeoa au umeolewa?Yuko wapi mbona Mimi simuoni?
Sasa unajuaje kua hao wenye hizo profession hawamo humu?Not guaranteed lakini at least kwa watu wenye profession izo,
Umenena vyema jamaa ni kamba tupuKwenye kila movie Kuna sterling na jambazi...
Ila hii movie sterling kaua watu wengi kuliko jambazi...jambazi hajawahi kuua watu bila maelekezo ya sterling... sterling anajitangaza ye mwenyewe kwamba ni mzuri na ukihoji uzuri wake unapigwa adhabu ..
Hao wazungu washaachana na hayo mambo na wamefocus na maendeleo yao...we wa chambawima bado unapandana nayo
Sasa unataka Shetani umuone wapi kama hutaki kutoa ushirikiano kwa Wahenga.Nje ya mada
Sasa kwani mm nimesema Kuna jibu?Sasa unajuaje kua hao wenye hizo profession hawamo humu?
Haya mambo ya kiimani huwezi kupata jibu,ni issue ya imani,na imani maana yake ni kuamini jambo ambalo huwezi kulithibitisha.
Unaposema "hapa hawezi kupata jibu" ina maanisha ipo sehemu nyingine ambayo anaweza kupata jibu.Sasa kwani mm nimesema Kuna jibu?
Funua Skirt umchungulie.Nimuone popote
Sura tu inatosha
Ukakutane nae live 😂😂Kwa nini nife kwanza
Unapanic, Mbona madem mna roho ndogo hivyo🤣Sawa mke wangu sogeza hiyo sket Sasa nifunue